Naibu Waziri wa ELIMU: Acha cheap popularity

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
12,358
6,422
Wapendwa,
It is a pity kuwa naibu waziri wa elimu kwa kutafuta cheap popularity anamtelemsha cheo Mwalimu Mkuu wa sekondari huko Korogwe bila kumsikiliza ili aonekane anafanya kazi. Unakuwa driven na mganga wa kienyeji, maji marefu unamhukumu mtu!!!Huwezi kumhukumu mtu bila haki yake ya kisheria ya kusikilizwa!! Mnawakatisha tamaaa hawa watu. CCW liangalie hili mlikomeshe. walimu mtaonewa mpaka lini. Inabidi usikilizwe kabla ya kukuhukumu. Hopeless!!
 
Wapendwa,
It is a pity kuwa naibu waziri wa elimu kwa kutafuta cheap popularity anamtelemsha cheo Mwalimu Mkuu wa sekondari huko Korogwe bila kumsikiliza ili aonekane anafanya kazi. Unakuwa driven na mganga wa kienyeji, maji marefu unamhukumu mtu!!!Huwezi kumhukumu mtu bila haki yake ya kisheria ya kusikilizwa!! Mnawakatisha tamaaa hawa watu. CCW liangalie hili mlikomeshe. walimu mtaonewa mpaka lini. Inabidi usikilizwe kabla ya kukuhukumu. Hopeless!!

HESHIMA MBELE MKUU!

Ingawa nipo mbali na Bongo, nami nimezipata habari hizi jana. Ni shule ya sekondari Mkomazi.

Tatizo la viongozi wa serikali hii ya MAGAMBA wameshindwa kutatua matatizo yanayo likabili taifa kwa ujumla. Kilicho baki kwao ni ku-deal na matokeo ya matatizo badala ya ku-deal na chanzo cha matatizo. Hivyo, kwa kwa sasa njia waliyo nayo ni kutafuta mchawi ili wambambikizie kwamba yeye ndiye chanzo cha kushindwa kwao.

Ili siri iliyo vuja baada ya kile kikao cha majumuisho yao pale H/shauri Korogwe jumamosi ya tarehe 18/02/2012, Mheshimiwa alikuwa ameenda KUZINDIKWA na Profesa Long Water ili asije tupwa kwenye mabadiliko ya baraza lamawaziri lijalo.

Hivyo, ili kuficha ukweli, jamaa kaona atafute issue itakayo vuma kwa haraka ili aonekane ni kweli amekwenda Korogwe kikazi, na hatimaye kumshusha cheo mkuu wa shule.

Jamaa wanakwambia chale za kuganwa zilikuwa mbichi kabisa hiyo j'mosi ya 18/02 mkutanoni.

Magamba kazi wanayo.

Nawasilisha.
 
HESHIMA MBELE MKUU!

Ingawa nipo mbali na Bongo, nami nimezipata habari hizi jana. Ni shule ya sekondari Mkomazi.

Tatizo la viongozi wa serikali hii ya MAGAMBA wameshindwa kutatua matatizo yanayo likabili taifa kwa ujumla. Kilicho baki kwao ni ku-deal na matokeo ya matatizo badala ya ku-deal na chanzo cha matatizo. Hivyo, kwa kwa sasa njia waliyo nayo ni kutafuta mchawi ili wambambikizie kwamba yeye ndiye chanzo cha kushindwa kwao.

Ili siri iliyo vuja baada ya kile kikao cha majumuisho yao pale H/shauri Korogwe jumamosi ya tarehe 18/02/2012, Mheshimiwa alikuwa ameenda KUZINDIKWA na Profesa Long Water ili asije tupwa kwenye mabadiliko ya baraza lamawaziri lijalo.

Hivyo, ili kuficha ukweli, jamaa kaona atafute issue itakayo vuma kwa haraka ili aonekane ni kweli amekwenda Korogwe kikazi, na hatimaye kumshusha cheo mkuu wa shule.

Jamaa wanakwambia chale za kuganwa zilikuwa mbichi kabisa hiyo j'mosi ya 18/02 mkutanoni.

Magamba kazi wanayo.

Nawasilisha.

haaah haaaah haaah dah CCm bana kumbe uchawi kwao ni important issue.
 
Eti anataka kuiga utendaji wa Naibu Waziri wa TAMISEMI Aggreu Mwanri. Tatizo huyu Mulugo kisomo not reacheable kabisa, anakurupuka tu na hajui gharama ya mambo anayofanya
 
HESHIMA MBELE MKUU!

Ingawa nipo mbali na Bongo, nami nimezipata habari hizi jana. Ni shule ya sekondari Mkomazi.

Tatizo la viongozi wa serikali hii ya MAGAMBA wameshindwa kutatua matatizo yanayo likabili taifa kwa ujumla. Kilicho baki kwao ni ku-deal na matokeo ya matatizo badala ya ku-deal na chanzo cha matatizo. Hivyo, kwa kwa sasa njia waliyo nayo ni kutafuta mchawi ili wambambikizie kwamba yeye ndiye chanzo cha kushindwa kwao.

Ili siri iliyo vuja baada ya kile kikao cha majumuisho yao pale H/shauri Korogwe jumamosi ya tarehe 18/02/2012, Mheshimiwa alikuwa ameenda KUZINDIKWA na Profesa Long Water ili asije tupwa kwenye mabadiliko ya baraza lamawaziri lijalo.

Hivyo, ili kuficha ukweli, jamaa kaona atafute issue itakayo vuma kwa haraka ili aonekane ni kweli amekwenda Korogwe kikazi, na hatimaye kumshusha cheo mkuu wa shule.

Jamaa wanakwambia chale za kuganwa zilikuwa mbichi kabisa hiyo j'mosi ya 18/02 mkutanoni.

Magamba kazi wanayo.

Nawasilisha.

hii kali
 
Wapendwa,
It is a pity kuwa naibu waziri wa elimu kwa kutafuta cheap popularity anamtelemsha cheo Mwalimu Mkuu wa sekondari huko Korogwe bila kumsikiliza ili aonekane anafanya kazi. Unakuwa driven na mganga wa kienyeji, maji marefu unamhukumu mtu!!!Huwezi kumhukumu mtu bila haki yake ya kisheria ya kusikilizwa!! Mnawakatisha tamaaa hawa watu. CCW liangalie hili mlikomeshe. walimu mtaonewa mpaka lini. Inabidi usikilizwe kabla ya kukuhukumu. Hopeless!!

Hiyo "natural justice" imetusaidia nini kwa mafisadi na wezi .Binafsi na muunga mkono kwa maamuzi aliyofanya na yasiishie kwa dagaa tu.Hii iwakute pia maafisa elimu wabovu na wezi.Tuache tabia ya kulalama kila wakati. Asipo chukua maamuzi ooooh kiongozi/serikali legelege akichukua hatua oooooh ,the right to be heard haikuzingatiwa. Kweli watanzania walalamishi.

Ndio maana Nabii Issa (Yesu) aliwambia watu wake "enyi kizazi cha nyoka, nitaishi hivi na nyinyi mpaka lini?
 
Eti anataka kuiga utendaji wa Naibu Waziri wa TAMISEMI Aggreu Mwanri. Tatizo huyu Mulugo kisomo not reacheable kabisa, anakurupuka tu na hajui gharama ya mambo anayofanya

The way alivyo na style ya hair-cut utafikili ni wazee wa miaka 1903.
 
Huu ni wakati wa kufanya maamuzi makini.....naibu waziri ameonesha mfano....kwa kweli mimi nimekuwa nasubiri kwa muda mrefu kuona yatokee hatimaye faraja imefika
nafikiri alistahili habari kutoka chanzo hakika ni kuwa mwalimu huyo amekuwa na mapungufu mengi
1.kabla hajahamia mkomazi huko alikotoka alishawahi kugombana
2.baada ya kuhamia hapa amekuwa na ugomvi na walimu na wengi wamemkimbia
3.hajali maslahi ya shule alipohamishiwa hapa mkomazi amegushi nyaraka na kujifanya amekaa hoteli yeye na familia na kuftumia fedha za kununulia vitabu kulipia gharama za hoteli hii haiwezekani
4. Jumla ya shilingi milioni 7.5 hazijulikani zipo wapi na amrkuwa anakataa viongozi wa bodi na kata kufika shuleni mili aendelee kuficha maovu
5.kwa sasa bodi ya shule haimtaki, wananchi hawamtaki na viongozi wa kata na mbunge hawamtaki na wananchi wameapa kotochangia maendeleo yoyote ya shule kama ataendelea kuwepo sasa abaki hapo kwa lipi
6/hali iliyokuwepo mkatika mkutano wa hadhara mbele ya mhe. Naibu waziri ilikuwa mbaya wananchi , diwani na mbunge wamemkataa
watanzania tuwape moyo viongozi makini na tuzingatie issues acheni kurukia mambo ya kusema ovyo wakatgi sisi mkomazi tunaumia
 
Back
Top Bottom