CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
Wapendwa,
It is a pity kuwa naibu waziri wa elimu kwa kutafuta cheap popularity anamtelemsha cheo Mwalimu Mkuu wa sekondari huko Korogwe bila kumsikiliza ili aonekane anafanya kazi. Unakuwa driven na mganga wa kienyeji, maji marefu unamhukumu mtu!!!Huwezi kumhukumu mtu bila haki yake ya kisheria ya kusikilizwa!! Mnawakatisha tamaaa hawa watu. CCW liangalie hili mlikomeshe. walimu mtaonewa mpaka lini. Inabidi usikilizwe kabla ya kukuhukumu. Hopeless!!
It is a pity kuwa naibu waziri wa elimu kwa kutafuta cheap popularity anamtelemsha cheo Mwalimu Mkuu wa sekondari huko Korogwe bila kumsikiliza ili aonekane anafanya kazi. Unakuwa driven na mganga wa kienyeji, maji marefu unamhukumu mtu!!!Huwezi kumhukumu mtu bila haki yake ya kisheria ya kusikilizwa!! Mnawakatisha tamaaa hawa watu. CCW liangalie hili mlikomeshe. walimu mtaonewa mpaka lini. Inabidi usikilizwe kabla ya kukuhukumu. Hopeless!!