Controller and Auditor General kwenye ripoti yake ya bunge amesisitiza umuhimu wa wabunge kutokuwa wajumbe wa mabodi ya mashirika ya umma kwani kwa kufanya hivyo kunawapunguzia dhamana ya kuyasimamia hayo mashirika kwa sababu ya conflict of interest!!
Jambo la kushangaza ni kuwa leo baada ya wenyeviti wa kamati za mahesabu kutoa hoja zao na kabla ya kuahilisha kikao huyu bwana akatoa angalizo kuwa kwavile hata hesabu za bunge ni lazima zipelekwe kwa kamati za bunge, haoni sababbu ya wabunge wasiwe wajumbe kwenye bodi za mashirika!!
What shallow thinking kutoka kwa naibu Spika kwani ni wazi haelewi concept nzima ya conflict of interest simply because kabla ya kupata huo wadhifa alionao alikuwa mjumbe wa bodi ya TANAPA kwa miaka kumi na kufaidi malupuplupu yaliyomfanya yeye na wenzie washindwe kuwathibiti watendaji na kusababisha nchi kukosa fedha nyingi za kigeni kutoka kwa watalii sababu ya maamuzi mabovu!!!
Naamini kuwa Zitto atasimama kidete kupinga upuuzi huu unaopunguza kasi ya maendeleo ya nchi kwasababu ya ubinafsi wa watu wachache.
Ni muhimu kwa bunge kuheshimu maelekezo ya CAG ili nchi iweze kuwa na utawala bora.
Jambo la kushangaza ni kuwa leo baada ya wenyeviti wa kamati za mahesabu kutoa hoja zao na kabla ya kuahilisha kikao huyu bwana akatoa angalizo kuwa kwavile hata hesabu za bunge ni lazima zipelekwe kwa kamati za bunge, haoni sababbu ya wabunge wasiwe wajumbe kwenye bodi za mashirika!!
What shallow thinking kutoka kwa naibu Spika kwani ni wazi haelewi concept nzima ya conflict of interest simply because kabla ya kupata huo wadhifa alionao alikuwa mjumbe wa bodi ya TANAPA kwa miaka kumi na kufaidi malupuplupu yaliyomfanya yeye na wenzie washindwe kuwathibiti watendaji na kusababisha nchi kukosa fedha nyingi za kigeni kutoka kwa watalii sababu ya maamuzi mabovu!!!
Naamini kuwa Zitto atasimama kidete kupinga upuuzi huu unaopunguza kasi ya maendeleo ya nchi kwasababu ya ubinafsi wa watu wachache.
Ni muhimu kwa bunge kuheshimu maelekezo ya CAG ili nchi iweze kuwa na utawala bora.