WA MAMNDENII
JF-Expert Member
- Jun 5, 2010
- 344
- 57
niki-refer mahojiano ya naibu spika ITV kwenye dk 45 alisema maofisa wa kawaida kwenye hizo taasisi nilizotaja wanachukua mzigo mkubwa kuliko mbunge, tunaomba kama kuna mdau kwenye hizo taasisi atupe ukweli hapa JF ili wadanganyika tujue ukweli uko wapi isije kuwa ns anajitetea na taasisi yake na kutupumbaza ili wabongo wasiendelee kuchonga kuhusu posho kubwa za waheshimiwa.