Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Kwa maamuzi ya spika kufuatia muongozo alioomba Mh. Tundu Lissu juu ya kauli ya mwanasheria mkuu wa serikali ni wazi na hii ndio tafsri yake kuwa ameruhusu Lugha ya kuudhi na kejeli kwa mtindo wa mafumbo bungeni.
Kwasababu alisema mwanasheria mkuu wa serikali yuko sahihi na hakumtaka afute kauli yake.
Angalizo langu awe teyari kupokea na kuruhusu kauli hizo kutoka kwa wapinzani kwani majibu kwa kauli kama hizo hayaepukiki tena.
Labda kwa wale ambao hamkupata nafasi ya kuangalia bunge kilichotokea ni kama ifuatavyo
Mwanasheria mkuu wa serikali alitoa kauli bungeni ilionekana kumlenga Mh. Tundu Lissu kwa kusema kuwa kuna watu wanatumia kichwa kufuga nywele na si kufikiri.
Baada ya kauli ile Mh. Tundu Lissu alisimama na kuomba muongozo wa naibu spika kuwa mwanasheria mkuu wa serikali afute kauli yake ila cha ajabu naibu spika alisema mwanasheria mkuu wa serikali yuko sahii.
Narudia tena isiwe mkuki kwa nguruwe ila kwa binadamu mchungu na akuanzae mmalize.
ALUTA CONTINUE
Kwasababu alisema mwanasheria mkuu wa serikali yuko sahihi na hakumtaka afute kauli yake.
Angalizo langu awe teyari kupokea na kuruhusu kauli hizo kutoka kwa wapinzani kwani majibu kwa kauli kama hizo hayaepukiki tena.
Labda kwa wale ambao hamkupata nafasi ya kuangalia bunge kilichotokea ni kama ifuatavyo
Mwanasheria mkuu wa serikali alitoa kauli bungeni ilionekana kumlenga Mh. Tundu Lissu kwa kusema kuwa kuna watu wanatumia kichwa kufuga nywele na si kufikiri.
Baada ya kauli ile Mh. Tundu Lissu alisimama na kuomba muongozo wa naibu spika kuwa mwanasheria mkuu wa serikali afute kauli yake ila cha ajabu naibu spika alisema mwanasheria mkuu wa serikali yuko sahii.
Narudia tena isiwe mkuki kwa nguruwe ila kwa binadamu mchungu na akuanzae mmalize.
ALUTA CONTINUE