Naibu Spika Job Ndugai ana matatizo gani!

NDUGAI.JPG


Job Yustino Ndugai, Naibu Spika na Mbunge wa Kongwa.
  • Ahoji uadilifu wa baadhi ya watendaji serikalini, kutokana na tabia yao ya kuvujisha siri za Serikali kwa wabunge wa upinzani.
  • Awaomba wabunge wa CCM kuisaidia Serikali kupitisha bajeti kwani kutofanya hivyo ni kuwaongezea nguvu wapinzani bungeni.
Ikumbukwe kwamba hizi anazodai ni siri za serikali ni pamoja na;
  • Nyaraka zinaoonesha wizara zikitoa hongo kwa Wabunge wa CCM ili bajeti zao zipite.
  • Nyaraka zinazoonesha pesa zikilipwa kwenye akaunti binafsi kununua Shirika la Umma.
  • Ushahidi kuonesha Wabunge wa CCM wakipewa hongo ili halmashauri mbali mbali zisiwajibishwe.
  • .............................. na kashfa nyingi tu zinazolikumba Taifa kila leo.
Hii ina maana kama Job Yustino Ndugai angekuwa na uwezo katika kipindi kilichopita 2005 - 2010, kashfa kama za EPA, Kagoda, Kiwira, Dowans, Meremeta, Rada angewawajibisha waliovujisha hizo anazoita siri za serikali. Halafu bila aibu ni huyu huyu Ndugai aliyeongoza ujumbe wa Wabunge nchini Uingereza eti kwenda kufuatilia aliyoita chenji ya rada huku akidai nchi hii inaheshimika kwa uadilifu na matumizi bora !

Job Yustino Ndugai anadai ni heri kashfa zikafagiliwa chini ya kitanda kuliko Upinzani kupata nguvu kwa kutetea maslahi ya Taifa. Je tumweleweje huyu Naibu Spika na Mbunge wa Kongwa, kwa nini alitaka awe mwakilishi wa watu wa Kongwa ? Job Yustino Ndugai hawaonei hata huruma wananchi wa Kongwa wanavyoendelea kuteseka kwa umaskini na maradhi kwa sababu ya huu mfumo fisadi ?

Hajachaguliwa na watu wa Kongwa hata kwa kura moja. Pesa za sakata Loliondo zilitumika kumpitisha bila kupingwa. Muulize lini ametembelea jimboni hususan wakati wa mafuriko Mtanana na Kibaigwa? Jibu HAKANYAGI hana anaemtambua. Ni majonzi tunayopewa na CCM.
 
Huyu jamaa uwezo mdogo sana ila anabebwa na magamba,jimbo lake watu masikini sana ila hana jitihada za kuwasaidia.
 
Kazi kwelikweli wakuu
Huu ndo mzabibu mwema au mwitu ?
Tuliwahi kusema tutaona mengi wazee
Hata katika mdahalo kupitia Star TV likuwa aibu kwake.
 
Yupo kimaslah ya chama zaidi huyo baba, haiwezekani ktk kila kusanyiko la watu awatuhumu chadema then mumtegemee kutenda haki bungeni kwa wapinzani. Hovyo sana huyu bwana!
 
huy jamaa ni zadi ya kilaza, pili ni mbuu, tatu anashobo za kike.

Hii sura nlivyoiona nikamkumbuka mchekeshaji mmoja hivi wa nje anaitwa Martin,
Huyu jamaa aachane na siasa kwani haziwezi,
ajiunge na ze comedy
 
Haya matatizo wenye macho tuliyaona na kuyatabiri kitambo. Ajabu ni kwamba pamoja na kumtandika mgombea mwenzake hadi kukimbizwa hospitalini ikiwa hajitambui Job Ndugai aliweza kuteliwa na CCM kugombea uspika na kweli akazipata kura.

Wanaomshangaa kwa kauli zake za sasa ndiyo wanafiki. Wachagua hovyo wakianza kutendewa hovyo wasianze kulalamika hovyo...na bado. Siku akitembea uchi labda ndio wengine watashtuka watakapoanza kuvuna kile walichopanda.
 
Haya matatizo wenye macho tuliyaona na kuyatabiri kitambo. Ajabu ni kwamba pamoja na kumtandika mgombea mwenzake hadi kukimbizwa hospitalini ikiwa hajitambui Job Ndugai aliweza kuteliwa na CCM kugombea uspika na kweli akazipata kura.

Wanaomshangaa kwa kauli zake za sasa ndiyo wanafiki. Wachagua hovyo wakianza kutendewa hovyo wasianze kulalamika hovyo...na bado. Siku akitembea uchi labda ndio wengine watashtuka watakapoanza kuvuna kile walichopanda.
Mag3 asante kwa kufukua kaburi hili. Watu wanapaswa kuona huyu ni mtu w aina gani na hakupaswa sio tuu kuwa Spika bali hata kuwa Mwenyekiti wa kamati ya Bunge au mbunge kwa ujumla. Ni mtu wa hovyo sana na asiye jitambua. Wabunge wenzake wa ccm wale wanaojielewa ( Sio kama kina Shonza, Lusinde nk) hata wao wamemchoka na wanaona anakwamisha mission zao kama wawakilishi wa wananchi
 
Mag3 asante kwa kufukua kaburi hili. Watu wanapaswa kuona huyu ni mtu w aina gani na hakupaswa sio tuu kuwa Spika bali hata kuwa Mwenyekiti wa kamati ya Bunge au mbunge kwa ujumla. Ni mtu wa hovyo sana na asiye jitambua. Wabunge wenzake wa ccm wale wanaojielewa ( Sio kama kina Shonza, Lusinde nk) hata wao wamemchoka na wanaona anakwamisha mission zao kama wawakilishi wa wananchi
Vichaa wamepewa rungu na waliowapa ni sisi wananchi na hata pale dalili zilipoonesha wazi kwamba kuna tatizo hatukuchukua tahadhari...tutatandikwa hadi tukome na ni haki yetu tutandikwe. Mwananchi unaona kabisa kwamba mgombea fulani kauli zake na vitendo vyake si vya kawaida halafu unampigia kura, unaona kabisa kwamba hazimtoshi lakini unampa kura kwa kutegemea nini?

Ukianza kuona dalili za ajabu ajabu kabla ya kumpa rungu, ujue umekubali kutandikwa na rungu hiyo unayompa. Mtu kama huyu unampa uongozu ukitegemea nini?

magufuli1-jpg.588333


Mtu kamtandika mgombea mwenzake rungu hadi kuzimia halafu wewe unampa tena rungu kubwa zaidi, kweli utapona?​
 
kumbukeni anaumwa kichaa cha dog na kule milembe serikali yake imeshindwa kupata daktari wa kupeleka kule maana mery Nagu ndiye angeweza kumtibu naye amekimbia fani unategemea nini ,yuko karibu kuingia kitaaa akibweka kama c kuuma magamba wenzake
2015 Alimuuma Dr Chilogani kidogo amuue kama sio kudra za mwenyezi Mungu!
 
NDUGAI.JPG


Job Yustino Ndugai, Naibu Spika na Mbunge wa Kongwa.
  • Ahoji uadilifu wa baadhi ya watendaji serikalini, kutokana na tabia yao ya kuvujisha siri za Serikali kwa wabunge wa upinzani.
  • Awaomba wabunge wa CCM kuisaidia Serikali kupitisha bajeti kwani kutofanya hivyo ni kuwaongezea nguvu wapinzani bungeni.
Ikumbukwe kwamba hizi anazodai ni siri za serikali ni pamoja na;
  • Nyaraka zinaoonesha wizara zikitoa hongo kwa Wabunge wa CCM ili bajeti zao zipite.
  • Nyaraka zinazoonesha pesa zikilipwa kwenye akaunti binafsi kununua Shirika la Umma.
  • Ushahidi kuonesha Wabunge wa CCM wakipewa hongo ili halmashauri mbali mbali zisiwajibishwe.
  • .............................. na kashfa nyingi tu zinazolikumba Taifa kila leo.
Hii ina maana kama Job Yustino Ndugai angekuwa na uwezo katika kipindi kilichopita 2005 - 2010, kashfa kama za EPA, Kagoda, Kiwira, Dowans, Meremeta, Rada angewawajibisha waliovujisha hizo anazoita siri za serikali.

Halafu bila aibu ni huyu huyu Ndugai aliyeongoza ujumbe wa Wabunge nchini Uingereza eti kwenda kufuatilia aliyoita chenji ya rada huku akidai nchi hii inaheshimika kwa uadilifu na matumizi bora !

Job Yustino Ndugai anadai ni heri kashfa zikafagiliwa chini ya kitanda kuliko Upinzani kupata nguvu kwa kutetea maslahi ya Taifa. Je tumweleweje huyu Naibu Spika na Mbunge wa Kongwa, kwa nini alitaka awe mwakilishi wa watu wa Kongwa?

Job Yustino Ndugai hawaonei hata huruma wananchi wa Kongwa wanavyoendelea kuteseka kwa umaskini na maradhi kwa sababu ya huu mfumo fisadi ?
 
NDUGAI.JPG


Job Yustino Ndugai, Naibu Spika na Mbunge wa Kongwa.
  • Ahoji uadilifu wa baadhi ya watendaji serikalini, kutokana na tabia yao ya kuvujisha siri za Serikali kwa wabunge wa upinzani.
  • Awaomba wabunge wa CCM kuisaidia Serikali kupitisha bajeti kwani kutofanya hivyo ni kuwaongezea nguvu wapinzani bungeni.
Ikumbukwe kwamba hizi anazodai ni siri za serikali ni pamoja na;
  • Nyaraka zinaoonesha wizara zikitoa hongo kwa Wabunge wa CCM ili bajeti zao zipite.
  • Nyaraka zinazoonesha pesa zikilipwa kwenye akaunti binafsi kununua Shirika la Umma.
  • Ushahidi kuonesha Wabunge wa CCM wakipewa hongo ili halmashauri mbali mbali zisiwajibishwe.
  • .............................. na kashfa nyingi tu zinazolikumba Taifa kila leo.
Hii ina maana kama Job Yustino Ndugai angekuwa na uwezo katika kipindi kilichopita 2005 - 2010, kashfa kama za EPA, Kagoda, Kiwira, Dowans, Meremeta, Rada angewawajibisha waliovujisha hizo anazoita siri za serikali.

Halafu bila aibu ni huyu huyu Ndugai aliyeongoza ujumbe wa Wabunge nchini Uingereza eti kwenda kufuatilia aliyoita chenji ya rada huku akidai nchi hii inaheshimika kwa uadilifu na matumizi bora !

Job Yustino Ndugai anadai ni heri kashfa zikafagiliwa chini ya kitanda kuliko Upinzani kupata nguvu kwa kutetea maslahi ya Taifa. Je tumweleweje huyu Naibu Spika na Mbunge wa Kongwa, kwa nini alitaka awe mwakilishi wa watu wa Kongwa?

Job Yustino Ndugai hawaonei hata huruma wananchi wa Kongwa wanavyoendelea kuteseka kwa umaskini na maradhi kwa sababu ya huu mfumo fisadi ?
Naona sura yake kabka hajapiga bil 25 za matibabu
 
Ni mbunge ambaye kwa miaka 15 ya ubunge wake amekuwa akiamini kuwa yeye ni serikali na yuko tayari kufanya lolote alimradi aifurahishe serikali. Hajafanya lolote kwa wananchi wake wanaokabiliwa na na njaa, uhaba wa maji na barabara.

Laiti wapigakura wake wangekuwa kama wale wa mbozi wangeshamng'oa. Mbozi walipogundua kuwa Mheshimiwa Eliakimu Simpasa hakuwa anawatetea bungeni waliamua kumtosa wakampa mwingine. Simpasa naye kama ndugai aliacha alilotumwa akajigeuza serikali akaanza kuwahukumu wenzake.

Mama Makinda hapati usaidizi wowote toka kwa ndugai zaidi ya kumharibia.
kumbe ni mbunge zaidi ya miaka 25 kongwa?
 
Back
Top Bottom