Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,253
Wala usijiumize mkuu,Wadau, mi naomba kujuzwa. Hivi, Halima Mdee kasema nini kustahili maneno ya kuundi jinsi hii? Je, Spika anapotoa maneno ya kuudhi kuna kanuni zinazo tumika kumuadibisha au yeye youko juu ya kanunu? Naomba nijuzwe wadau kuuliza si ujinga!
Bunge la Magamba,
Serikali ya Magamba,
Mahakama ya Magamba,
Magamba yote yako juu ya Kanuni/sheria.