Kanuni aliyopaswa kutumia ni hii ifuatayo;
Kanuni ya 73 (2) "Endapo Mbunge au waziri atatumia maneno au lugha isiyotakiwa Bungeni,yaani lugha ya matusi,usafihi,uchokozi au lugha ya maudhi na akitakiwa na Spika ajirekebishe kwa kufuta maneno au lugha hiyo atakataa kufanya hivyo,Spika anaweza kumwamuru Mbunge huyo atoke mara moja nje ya Ukumbi wa Bunge na abaki huko nje kwa muda wote uliosalia wa kikao cha siku hiyo"
Hii ndio kanuni ilipaswa kutumika na sio kumtoa kwa siku tatu kama alivyofanya kwani inaendeleza kutokujua kanuni anazopaswa kuzisimamia.
Kanuni ya 73 (2) "Endapo Mbunge au waziri atatumia maneno au lugha isiyotakiwa Bungeni,yaani lugha ya matusi,usafihi,uchokozi au lugha ya maudhi na akitakiwa na Spika ajirekebishe kwa kufuta maneno au lugha hiyo atakataa kufanya hivyo,Spika anaweza kumwamuru Mbunge huyo atoke mara moja nje ya Ukumbi wa Bunge na abaki huko nje kwa muda wote uliosalia wa kikao cha siku hiyo"
Hii ndio kanuni ilipaswa kutumika na sio kumtoa kwa siku tatu kama alivyofanya kwani inaendeleza kutokujua kanuni anazopaswa kuzisimamia.