hajui anachoongea huyu, mpaka sasa hivi hii ngoma hawataweza kuicheza , i swear to God , wasipomaliza na kuwaridhisha watu wa Zanzibar hakuna kitu kitakachoelewekaMwanasheria anasema watoto wanahaki ya kujadili mswada. Na Zanzibar kuchoma mswada haisaidii chochote
hajui anachoongea huyu, mpaka sasa hivi hii ngoma hawataweza kuicheza , i swear to God , wasipomaliza na kuwaridhisha watu wa Zanzibar hakuna kitu kitakachoeleweka
Wamesema tayari muswada umeisha tafsiriwa kwa lugha ya Kiswahili, na wamekuja nao tayari hapo studio.
hajui anachoongea huyu, mpaka sasa hivi hii ngoma hawataweza kuicheza , i swear to God , wasipomaliza na kuwaridhisha watu wa Zanzibar hakuna kitu kitakachoeleweka
Mkuu Werema hayupo amemtuma Naibu wake bwana Masaju
Mwanasheria kasahau kuwa hao watoto hawajausoma muswada na wasingeweza kusoma huo ili wachangie. Wangejali haki yao ya kushiriki wangetafsiri kiswahili. Hapa anaongea bla bla tu-hivi hawaoni wanajichora?.
CCM wanatakiwa wawe extremely careful wakati wanaongea mambo ya katiba ya Jamhuri kwa upande wa Zanzibar. Wakubwa hawa wanaweza kubeza kitendo cha kuchoma muswada na statements za kuutakataa muswaada huo and that will be a dreaful mistake hasa baada ya kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa. Kwa kifupi ni hivi; Ungujans have something to say about Pembans, and Pembans have something to say about Ungujans, but they both have lot say about Tanganyikans!
Hivi Waziri wa Katiba yuko wapi mbona kuna Waziri wa Utumishi?
Mkuu Werema hayupo amemtuma Naibu wake bwana Masaju