Kiherehere
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,806
- 621
neeeeeeeeeeeeeeext!!!!!!!!!!!!!!!!!
Habari za kuaminika muda mchache uliopita aliyekuwa Naibu Meya Arusha AMEJIUZULU. More News to follow na tunasubiri "tetesi" Meya mwenyewe atoe kauli ingawaje yeye ni mbuzi wa kafara labda itachuku siku nyingine tatu mpka tano kutoa tamko..
Then I think RPC, IGP to follow before president.....
Chanzo cha habari bwana mkubwa ungeweka kabisa, labda ni tetesi/QUOTE] ni radio one breaking news
R
Meya ameliambia Mwananchi kuwa hawezi jiuzulu ng'o! Ila kitaeleweka, atafanya kazi na nani? Ametoswa na wananchi na jumuiya kibao za kiraia! Labda atafanya kazi na UWT na UVCCM na taasisi nyingine za kifisadi. Kujiuzuru naibu Meya is a nice move kuelekea ukombozi.
Hivi Mwema anasubiri nini mbona sijasikia akibwaga manyanga? Au barua haijasainiwa?
uyo ni chambo cha mafisadi.
akijiuzulu bila ridhaa yao lazima watamuuwa.
Meya ana husika na vikao vya manispaa tu! Hii habari ya kutompa ushirikiano ni kutokujua sheria za serikali za mitaa!
Habari za kuaminika muda mchache uliopita aliyekuwa Naibu Meya Arusha AMEJIUZULU. More News to follow na tunasubiri "tetesi" Meya mwenyewe atoe kauli ingawaje yeye ni mbuzi wa kafara labda itachuku siku nyingine tatu mpka tano kutoa tamko..
Then I think RPC, IGP to follow before president.....
Kitaeleweka tu tayari kuna watu wamepoteza maisha kwa ajili yao, hiyo dhambi haiwezi kuondoka mikononi mwao.