Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naibu katibu mkuu wa chama cha wanainchi CUF amewasili jimboni Igunga kukagua uhai wa chama baada ya timu ya kwanza kuwepo huko zaidi ya wiki 3 sasa, Lengo ni kujipanga kwa mtanange wa uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga.
Kwanini CCM B wasiiunge mkono CCM A kwenye uchaguzi huo?? Hakuna maana kwa vyama washirika kupingana kwenye huo uchaguzi haipendezi sana..
Mimi nataka jimbo liende upinzani hata cck wakichukua sina matatizo ila lisirudi magamba.