Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 276
huyu Nahodha kidogo ana make sense kulingana na maelezo yake..
Mfumo mbovu wa utawala. Manumba alitakiwa awajibike kwa Waziri au IGP sasa kila mtu anateuliwa na Rais no proper channel of command.