Fugwe
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,676
- 656
Tuache utani ..kupita UD kuna 'raha' yake ..
Raha ya kuchukulia notes/kumsikiliza LECTURER kupitia dirishani?
Tuache utani ..kupita UD kuna 'raha' yake ..
Nimefurahishwa na maelezo ya NAHODA lakini cha kuliza hapa kwanini kila mara akitakiwa kueleza elimu yake ameipatia wapi na chuo gani au( UNI)gani alisoma huwa hakupo tayari kutueleza cha kushangaza kwanini afiche shada zake kama anazo nakuombeni kwa wale wenye kumuelewa huyu Nahoda watueleze wapi elimu yake ameipatia na vyeti gani amekuwa navyo