NAHODHA AMFAGILIA TUNDU LISSU KAMA NI HAZINA YA TAIFA, ni pale aliposema ni mtafiti mzuri sana na kama angefanya utafiti huo kwenye maendeleo ya nchi, nchi ingefika mbali sana kwani nchi hii ina mali nyingi sana.
Ilkuwa kebehi..ungetulia kwanza kabla ya kupost