Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
Pole sana ndugu yangu. kwa ushauri wa haraka ni kutafuta mtu wa karibu wa kuogea naye face to face. Hii itasaidia sana kuondoa fear. Tafuta demu mzuri sana na umueleze tatizo lako ili yeye ndiye awe controler wa emotions zako.
Najua sasa hivi huna ashki kwa sababu wewe ndio unataka uwe in control. Let a woman be in control.
I had a man once who had no ashki like you. Alikuwa anajifanya mjanja sana lakini akifika room tu jamaa wake wa chini wanamuangusha. Siku moja nikamtolea uvivu nikamwambia aniambia tatizo ni nini. aliponiambia kuwa anaogopa kwa kuwa ni mkojozi wa haraka nikaamua kumsaidia. Nilianza kwa kumpa mazoezi ya kuvumilia kukojoa. for the first two weeks alianza dozi ya kunyonywa na mdomo bila kuingiza kinenani. baada ya painful two weeks za kuvumilia nikamkubalia kuingiza. Akataka kunipa kojozi la fasta nikamwambia avute subira kama alivyosubiri wakati wa session za mdomoni. Alifanikiwa na ananishukuru mpaka leo. Alipofuzu nilimpeleka kwa rafiki yangu na mambo yakawa safi.
Siku hizi naye ananiambia amekuwa mwalimu.
be patient, be open to one person face to face and be ready to marry in 2011.
Mtafute CAREN atakusaidia....