Arvin sloane
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 996
- 203
Nakushauri na wewe tafuta kigudulia ili iwe ngoma droo.
Hahahaha Yummy bana, mbona nlishaweka angalizo kuwa ni ushauri wa kibabubabu?Asprin ndio ushauri gani huo????duuuh
Hahahaha Yummy bana, mbona nlishaweka angalizo kuwa ni ushauri wa kibabubabu?
Mi nawashauri wanaume wanaopenda kuoa wake wawili wafanye haya makitu: Ishi nao kwa room moja muwe mnapiga haya makitu a.k.a Threesome!! Afu ukikondeana kama jibwa koko ndo tutajua kweli unajua kuchuja nafaka.
Hah na kweli mwaya ingawa inawezekana pia alianza Bi Mkubwa akaona ili siri yake iwe safe basi amshawishi na mdogo naye afanye au kinyume na hivyo. Ila je kweli kama hawatoshelezi ndo hawawezimwambia? loh. Mi sijui bwana labda mwenyewe anajiona anawamudu kumbe yu aishia kuparaza tu..................Wake wawili, tena vijana si mchezo aisee.......Bishanga na MwanajamiiOne
ingekua mmoja wa wake zake ndo anacheat ungeweza sema kuwa labda ni tabia..... But wanapocheat wote wawili.....
Tena kwa kushirikiana......
Something is terribly wrong somewhere..........
Nahisi Kuna kitu wakeze wanakosa... Jamani
Wake zangu hawa bi mkubwa na bi mdogo wanapendana sana, kiasi kwamba napata raha kuish nao, mdogo kwa sheria zetu basi anamwita mkubwa dada. Kila mtu ana mji wake wa maana kwamba nimewajengea ila siyo maeneo ya karibu kiasi kwamba wakitaka kutembeleana lazima wapande gari.
i
asante sana Yummy ila kumbuka mimi sijaoa kuwakomoa bali naruhusiwa na wao ni wanawake wanapaswa wawe na mume mmoja tu.
Nimekupendaje sio mtu akishakojoa tu huyo full kukoromanisingependa kuzungumzia upande wa dini.....
naomba nikuulize swali ambalo ni out of topic, huyo mwenye mtoto mmoja alikwambia kuwa amemaliza kuzaa?haitaji wa pili? au umejifikiria mwenyewe kuwa unao 3 umeona inatosha? what if akiamua kubeba ujauzito?
nikirudi kwenye mada,hii ni kiubinadamu zaidi(si kidini)
siku zote jamani wanaume msijidanganye kuwa mn uwezo wa kumtosheleza mwanamke..... na siku zote wanaume msifikiri kuna mwanamke anayefurahia kuona anashare 'dushelele' na mwanamke mwenzake....
kama vile ambavyo wewe umeumia ndivyo wake zako kila mmoja kwa wakati wake ndivyo anavyoumia... {mtazamo wangu: hata baadhi ya wanawake wakikwambia 'mume wangu oa dini inaruhusu" ni kuwa amekuruhusu kwa kuwa hana jinsi, mikono yake imefungwa} hivyo hata kama hajatamka wazi mwanamke huyo lazima atatafuta faraja, iwe anapatana au hapatani na mke mwenzie, atattafuta mahala ambako atajiaminisha {hata kwa kujifariji} kuwa yupo mwenyewe.... au atatafuta akiamini kuwa hata wewe unafanya, hata wewe unatoka na una weza kuongeza mke na zaidi na zaidi...
labda nikupe kisa cha mzee mmoja namfahamu.....
mkewe alipata tatizo la uzazi hivyo hakuweza kupata mtoto tena,
pamoja na kuzaa huku na kule na kumletea bi mkubwa watoto akaamua kuoa ilhali dini haimruhusu....
akaoa mke wa pili wakazaa watoto 2...
akaoa mke wa tatu wakazaa mtoto 1
baadae siri ikatoka kuwa mke wa pili ana bwana, ndiye aliyezaa nae hawa watoto 2........kwa lugha nyingine ameuziwa mbuzi kwenye kiroba (point yangu ni kuwa, kumridhisha mwanamke 1 tu ni kazi sembuse hao 3?)
sasa ufanyaje?
- uzungumze na wake zako kuhusu tabia yao? ingawa sidhani kama itasaidia kumaliza tatizo.... maana watakuja na mbinu mpya...kumbuka kule "nyumba ndogo" ndo wanajazilizia pale palipopungua iwe kimapenzi au kihisia
- utafute mbinu za kuwaridhisha kimapenzi.....kumbuka kuwa mapenzi sio sex tu, ili umridhishe mwanamke unapaswa uanze nje ya chumba mpaka kitandani....unapaswa uanze toka unavyoamka asubuhi mpaka mnavyoenda kulala usiku, mwanamke anahitaji security, anahitaji ajiamini kuwa huyu ni wangu, ajisikie kupendwa, na ili wake zake watulie na wewe unahitaji kujitoa kwa kila mmoja wao mpaka "aapreciate" kuwa "yes my husband loves me" utawezaje kufanya hivyo hiyo ni homework yako...
na hili ni somo si tu kwako bali hata kwa wale wanaofikiri mkeo akileta nyodo muolee mke wa pili...
chonde chonde jamani hakuna kazi ngumu kama kumridhisha mwanamke....
na kumridhisha mwanamke hakuanzii kitandani.
ohoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Mimi ni kijana wa kiume (39) niliye anza kuoa miaka tisa iliyopita. Mpaka sas nina wake wawili na kwakuwa inmani yangu inaruhusu basi sikuona kwanini niwe na mmoja ili hali dunia imejaa wanawake wazuri na warembo na kila mmoja anamvuto wa pekee.
Nilimuoa bi mdogo miaka 4 iliyopita, nikiwa tayari nina watoto 2 kwa bi mkubwa. Mungu kanibariki sasa ninao 3 yaani bi mkubwa 2 na mdogo 1 na sina mpango wa kuendelea tena kuzaa. Kuna tatizo moja ambalo limejitokeza ndio maana nimeamua kuja hapa kutaka ushauri wenu.
Wake zangu hawa bi mkubwa na bi mdogo wanapendana sana, kiasi kwamba napata raha kuish nao, mdogo kwa sheria zetu basi anamwita mkubwa dada. Kila mtu ana mji wake wa maana kwamba nimewajengea ila siyo maeneo ya karibu kiasi kwamba wakitaka kutembeleana lazima wapande gari.
Mimi ninayepanga zamu kwangu hainipi shuda kwani yote ni miji yangu so nikiwa kwa dada mtu mdogo mtu najuaa na kinyume chake. Sikuwahi hata siku moja kuchukia urafiki wa wake zangu na nilipendezwa sana wala sikujua nini kimo kati yao wao nisichokijua.
Kumbe wote wawili wana vidumu (mabuzi) katika kuchunguza nikajua kuwa dada na mdogo wake huwa wana vibuzi maringo na nikiwa zamu basi asiye kuwa na zamu anatoka na kibuzi chake. Kiasi kwamba siyo wao tu wenye zamu kumbe hata mimi napangiwa zamu.
kwa kweli nimechukizwa na hali hii na sijui nifanyeje manake sitaki kuongeza mke mwingine hawa nilio nao naona nawamudu isitoshe sitaki kuzaa tena watoto tulio nao wanatosha.
Naombeni ushauri juu ya hili nifanyeje au wewe ungefanyeje kama mwanaume mwingine anakuja kulala nyumbani kwako na kula vyakula mpaka wake zako? kila mmoja anakibuzi chake na hivi vibuzi vinafahamiana.
Nawasilisha
tafadhali kashfa na matusi usinitumie ukiona huwez kushaur basi pita tu. ushauri wa hekima utapokelewa na kufanyiwa kazi
jamani humu jukwaani watu hatuna haja na jisia ya mtu nafikir na wale ambao ni wafuatiliaji wazuri watajua tu mimi ni jisia gani. Anyway mimi ni ke ila nimeandika haya kwani kuna mtu anataka ushauri wa haraka and to be wise nilitaka kuona wengine wangeshauri nini na pia kuwaelimisha wengine. Kwa wale ambao ni psychologist wanajua kwanini navaa uhusika halisi mimi. kwanza ni rahsi kueleweka zaid kuliko kutumia majina au nafsi ya 3.
Pia hiki ni kisa halisi kabisa na nimetoka kutatua jana but mpaka sasa solution haijapatikana shauri li litakaa keshokutwa tena.