nahitaji ushauri wenu wana mmu

Asprin ndio ushauri gani huo????duuuh
Hahahaha Yummy bana, mbona nlishaweka angalizo kuwa ni ushauri wa kibabubabu?

Mi nawashauri wanaume wanaopenda kuoa wake wawili wafanye haya makitu: Ishi nao kwa room moja muwe mnapiga haya makitu a.k.a Threesome!! Afu ukikondeana kama jibwa koko ndo tutajua kweli unajua kuchuja nafaka.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha Yummy bana, mbona nlishaweka angalizo kuwa ni ushauri wa kibabubabu?

Mi nawashauri wanaume wanaopenda kuoa wake wawili wafanye haya makitu: Ishi nao kwa room moja muwe mnapiga haya makitu a.k.a Threesome!! Afu ukikondeana kama jibwa koko ndo tutajua kweli unajua kuchuja nafaka.

hahahahahaaaaa Asprin wewe, threesome? Ndani yz wiki moja tu ataresti in pisi......
 
Last edited by a moderator:
Bishanga na MwanajamiiOne
ingekua mmoja wa wake zake ndo anacheat ungeweza sema kuwa labda ni tabia..... But wanapocheat wote wawili.....
Tena kwa kushirikiana......
Something is terribly wrong somewhere..........
Nahisi Kuna kitu wakeze wanakosa... Jamani
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hii inaitwa Bilabila or kama moja, moja wote, kama mbili, Mbili wote. Any way my advice to you. Kama unaweza na unauhakika with what ur explaining waulize tu n why wanafanya hivyo. Probably perfomance yako siyo Nzuri, or mwenzio ushindi ni bao Mbili wewe moja linakutosha. You need to think of what is your weekness and why Mawives wanamagwa nje. Ila ujui kuwaacha siyo solution cz up to now unawatoto watatu, so wanatosha sana for nowdays life. Tumia akiri kuamua
 
Bishanga na MwanajamiiOne
ingekua mmoja wa wake zake ndo anacheat ungeweza sema kuwa labda ni tabia..... But wanapocheat wote wawili.....
Tena kwa kushirikiana......
Something is terribly wrong somewhere..........
Nahisi Kuna kitu wakeze wanakosa... Jamani
Hah na kweli mwaya ingawa inawezekana pia alianza Bi Mkubwa akaona ili siri yake iwe safe basi amshawishi na mdogo naye afanye au kinyume na hivyo. Ila je kweli kama hawatoshelezi ndo hawawezimwambia? loh. Mi sijui bwana labda mwenyewe anajiona anawamudu kumbe yu aishia kuparaza tu..................Wake wawili, tena vijana si mchezo aisee.......
 
Wake zangu hawa bi mkubwa na bi mdogo wanapendana sana, kiasi kwamba napata raha kuish nao, mdogo kwa sheria zetu basi anamwita mkubwa dada. Kila mtu ana mji wake wa maana kwamba nimewajengea ila siyo maeneo ya karibu kiasi kwamba wakitaka kutembeleana lazima wapande gari.

i

Kaka nimekaa sana Pwani kwa maana halisi ya Pwani (sio dar mji usio na mwenyewe). Wazee wa Kipwani waliniambia ukiona wake zako wanapendana sana jua wanafichiana siri. Na siri yenyewe ni kuwa wanakuchezea shere. Bahati mbaya wewe ni muislamu lakini wa Bara huyajui hayo ndio sababu yamekukuta.

Chagua moja kuwamwaga wote, au kuuvijua kwa undani VIDUMU vyao na kuwaeleza "live" ili waache mchezo wao. Pili lazima uwachonganishe wachukiane ili uendelee kula kiulaini.

Mwisho POLE!
 
Nawashukuru sana wote mliotoa maoni yenu binafsi nimejifunza mengi sana hasa nilipoambiwa niende kurejea kwenye aya ya sunna. pia si kwamba kuwa na wake wawili ni swala la infidelity but hapa kuna mambo mengi sana ya kiimani yanayoingliana so kwa mtu asiye kuwa muelewa hawez kuyajua na mimi pia siwez kuendelea in that side.

hata hivyo mbarikiwe sana na nitaendelea kusoma ushauri wenu zaid na zaid.
 
Muuaji akilia hulia machozi halisi sio bandia. We chunia tu enedelea kula kote na wao waendelee kote yani jino kwa jino.
 
asante sana Yummy ila kumbuka mimi sijaoa kuwakomoa bali naruhusiwa na wao ni wanawake wanapaswa wawe na mume mmoja tu.

nisingependa kuzungumzia upande wa dini.....

naomba nikuulize swali ambalo ni out of topic, huyo mwenye mtoto mmoja alikwambia kuwa amemaliza kuzaa?haitaji wa pili? au umejifikiria mwenyewe kuwa unao 3 umeona inatosha? what if akiamua kubeba ujauzito?

nikirudi kwenye mada,hii ni kiubinadamu zaidi(si kidini)
siku zote jamani wanaume msijidanganye kuwa mn uwezo wa kumtosheleza mwanamke..... na siku zote wanaume msifikiri kuna mwanamke anayefurahia kuona anashare 'dushelele' na mwanamke mwenzake....

kama vile ambavyo wewe umeumia ndivyo wake zako kila mmoja kwa wakati wake ndivyo anavyoumia... {mtazamo wangu: hata baadhi ya wanawake wakikwambia 'mume wangu oa dini inaruhusu" ni kuwa amekuruhusu kwa kuwa hana jinsi, mikono yake imefungwa} hivyo hata kama hajatamka wazi mwanamke huyo lazima atatafuta faraja, iwe anapatana au hapatani na mke mwenzie, atattafuta mahala ambako atajiaminisha {hata kwa kujifariji} kuwa yupo mwenyewe.... au atatafuta akiamini kuwa hata wewe unafanya, hata wewe unatoka na una weza kuongeza mke na zaidi na zaidi...


labda nikupe kisa cha mzee mmoja namfahamu.....
mkewe alipata tatizo la uzazi hivyo hakuweza kupata mtoto tena,
pamoja na kuzaa huku na kule na kumletea bi mkubwa watoto akaamua kuoa ilhali dini haimruhusu....
akaoa mke wa pili wakazaa watoto 2...
akaoa mke wa tatu wakazaa mtoto 1
baadae siri ikatoka kuwa mke wa pili ana bwana, ndiye aliyezaa nae hawa watoto 2........kwa lugha nyingine ameuziwa mbuzi kwenye kiroba (point yangu ni kuwa, kumridhisha mwanamke 1 tu ni kazi sembuse hao 3?)

sasa ufanyaje?
  • uzungumze na wake zako kuhusu tabia yao? ingawa sidhani kama itasaidia kumaliza tatizo.... maana watakuja na mbinu mpya...kumbuka kule "nyumba ndogo" ndo wanajazilizia pale palipopungua iwe kimapenzi au kihisia
  • utafute mbinu za kuwaridhisha kimapenzi.....kumbuka kuwa mapenzi sio sex tu, ili umridhishe mwanamke unapaswa uanze nje ya chumba mpaka kitandani....unapaswa uanze toka unavyoamka asubuhi mpaka mnavyoenda kulala usiku, mwanamke anahitaji security, anahitaji ajiamini kuwa huyu ni wangu, ajisikie kupendwa, na ili wake zake watulie na wewe unahitaji kujitoa kwa kila mmoja wao mpaka "aapreciate" kuwa "yes my husband loves me" utawezaje kufanya hivyo hiyo ni homework yako...



na hili ni somo si tu kwako bali hata kwa wale wanaofikiri mkeo akileta nyodo muolee mke wa pili...
chonde chonde jamani hakuna kazi ngumu kama kumridhisha mwanamke....
na kumridhisha mwanamke hakuanzii kitandani.

ohoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo

Nimekupendaje sio mtu akishakojoa tu huyo full kukoroma
 
daaah mi nimependa sana hiyo stail ya wakezo....sina mchango wa mawazo
 
Mimi ni kijana wa kiume (39) niliye anza kuoa miaka tisa iliyopita. Mpaka sas nina wake wawili na kwakuwa inmani yangu inaruhusu basi sikuona kwanini niwe na mmoja ili hali dunia imejaa wanawake wazuri na warembo na kila mmoja anamvuto wa pekee.

Nilimuoa bi mdogo miaka 4 iliyopita, nikiwa tayari nina watoto 2 kwa bi mkubwa. Mungu kanibariki sasa ninao 3 yaani bi mkubwa 2 na mdogo 1 na sina mpango wa kuendelea tena kuzaa. Kuna tatizo moja ambalo limejitokeza ndio maana nimeamua kuja hapa kutaka ushauri wenu.

Wake zangu hawa bi mkubwa na bi mdogo wanapendana sana, kiasi kwamba napata raha kuish nao, mdogo kwa sheria zetu basi anamwita mkubwa dada. Kila mtu ana mji wake wa maana kwamba nimewajengea ila siyo maeneo ya karibu kiasi kwamba wakitaka kutembeleana lazima wapande gari.

Mimi ninayepanga zamu kwangu hainipi shuda kwani yote ni miji yangu so nikiwa kwa dada mtu mdogo mtu najuaa na kinyume chake. Sikuwahi hata siku moja kuchukia urafiki wa wake zangu na nilipendezwa sana wala sikujua nini kimo kati yao wao nisichokijua.

Kumbe wote wawili wana vidumu (mabuzi) katika kuchunguza nikajua kuwa dada na mdogo wake huwa wana vibuzi maringo na nikiwa zamu basi asiye kuwa na zamu anatoka na kibuzi chake. Kiasi kwamba siyo wao tu wenye zamu kumbe hata mimi napangiwa zamu.

kwa kweli nimechukizwa na hali hii na sijui nifanyeje manake sitaki kuongeza mke mwingine hawa nilio nao naona nawamudu isitoshe sitaki kuzaa tena watoto tulio nao wanatosha.
Naombeni ushauri juu ya hili nifanyeje au wewe ungefanyeje kama mwanaume mwingine anakuja kulala nyumbani kwako na kula vyakula mpaka wake zako? kila mmoja anakibuzi chake na hivi vibuzi vinafahamiana.

Nawasilisha

tafadhali kashfa na matusi usinitumie ukiona huwez kushaur basi pita tu. ushauri wa hekima utapokelewa na kufanyiwa kazi

Samahani ndugu yangu lakini kubali kuwa huna uwezo na hao wake wawili. Hata mmoja pia atakushinda.
Inawezekanaje mkeo ana kidumu nawe unajuwa halafu ubaki nao?
Pengine lengo lako ni kutaka kutuonyesha ubaya wa kuwa na wake wawili lakini tabia ya kuenda nje ya ndowa ni tabia binafsi ya mwanamke au mwanamme na wala haihusiani na uwili au utatu. Hivyo unataka tukufahamu kuwa wanawake walio ndani ya ndowa moja hawaendi nje ya ndowa? Halafu ni mwanammke gani mwenye akili asitie maanani mgonjwa au wivu katika dunia yetu ya sasa. Inawezekana hao wake zako wana matatizo ya kufikiri.
 
Ile baridi ya juzi kati ilikuwa kali sana kiasi kwamba suala la zamu haliwezi kuzingatiwa. Bottomline ni kuukubali ukweli kwamba binadamu ni binadamu tu. Sioni kama tunatenda haki kuoa wanawake wengi tusiowamudu kama King Mswati. Lazima apate wasaidizi.
 
Pole sana kaka kwa matatizo yaliyokukuta cha msingi kaa nao chini na uwe mnyeyekevu uwaulize tatizo ni nini? Pili msisahau kuchek AFYA ZENU sababu hapo kuna mzunguko wa watu 6 na huwezi kujua wapi utajikwaa.
 
jamani humu jukwaani watu hatuna haja na jisia ya mtu nafikir na wale ambao ni wafuatiliaji wazuri watajua tu mimi ni jisia gani. Anyway mimi ni ke ila nimeandika haya kwani kuna mtu anataka ushauri wa haraka and to be wise nilitaka kuona wengine wangeshauri nini na pia kuwaelimisha wengine. Kwa wale ambao ni psychologist wanajua kwanini navaa uhusika halisi mimi. kwanza ni rahsi kueleweka zaid kuliko kutumia majina au nafsi ya 3.

Pia hiki ni kisa halisi kabisa na nimetoka kutatua jana but mpaka sasa solution haijapatikana shauri li litakaa keshokutwa tena.

Mwambie, "kukosea njia ndio kujua njia"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom