nahitaji toyota rav4

Ninazo 2 kwa mil 7 each. Automatic na manual. Auto ina kitu kinagonga sijajua ni nini. Zimepaki tu home,ziko fresh.

nakushauri ununue gari kutoka japan tembelea www.tradecarview.com ndo walau bei zao rahisi sikushauri sana ununue gari kutoka kwa mtu huko tz manake anelitumia kaagiza used sasa kwake lishakuwa used to the used na ww utakuwa used to that used car,,,jamani agizeni kutoka nje bora uingie garama upate kitu cha kudumu,tembelea huo mtandao mtafute na agent unae muwamini wa kuclear.Mbongo akikiuuzia kitu think twice.
 
mkuu kuwa makini sana kama utaagiza kwenye mtandao, watu wengi wanalizwa siku hizi;
Sometimes you can get a good car hapa hapa
 
Ni pm, ntakupatia gari kama unayoitaka for less na ipo hapa Dar tayari. Ina rangi ya Maroon, 5 doors, full option, ililetwa mwaka jana direct from Japan, kwa sasa ni ac haifanyi kazi matengenezo yake hayafiki laki moja. Itabidi uje na fundi unaemuamini akutazamie kila kitu. Aside ya ubovu wa ac, kila kitu kinafanya kazi vizuri. TZS 8m non negotiable. Kama uko interested ni pm.

hiyo bei ni kubwa sana kwa RAV 4 ya hivyo tena imeshaua AC du mkuu kuagiza RAV 4 YA 2001 ni MILION KUMI NA MBILI TUU SASA KWA NINI NI NUNUE HIYO YA ZAMANI KWA BEI HIYO NO SIMSHAURI
 
Ipo 5 Doors manual ipo vizuri kama bado haujafanikiwa nitafute katika namba 0784225000
 
Back
Top Bottom