Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
Ninazo 2 kwa mil 7 each. Automatic na manual. Auto ina kitu kinagonga sijajua ni nini. Zimepaki tu home,ziko fresh.
nakushauri ununue gari kutoka japan tembelea www.tradecarview.com ndo walau bei zao rahisi sikushauri sana ununue gari kutoka kwa mtu huko tz manake anelitumia kaagiza used sasa kwake lishakuwa used to the used na ww utakuwa used to that used car,,,jamani agizeni kutoka nje bora uingie garama upate kitu cha kudumu,tembelea huo mtandao mtafute na agent unae muwamini wa kuclear.Mbongo akikiuuzia kitu think twice.