Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Wana JF poleni sana na Mihangaiko ya maisha na wale wa Arusha nawapa Pole sana kwa Matatizo yote yaliyowapata hadi kupoteza maisha ya watu basi Mungu azilaze roho za wapenda maendeleo wote waliokufa kwenye harakati.....Amen.
Lengo nikuwaomba ushauri kwenu najua mtanisaidia ili niweze kufanikiwa kwa hili ,sasa nataka kuagana na Ukapera na kuingia katika ndoa kama Mungu atanijalia.
Watu wengi wamekuwa wakisema kuwa ukioa lazima uwe na nyumba ndogo ili siku Mkeo akikuudhi basi uende nyumba ndogo ukajiliwaze, kwa kufanya hivyo basi unaweza kujikuta huwi na mgogoro na ndoa siku zote za maisha yako.Kwani nyumba ndogo inajua sana kufariji hasa pale unapokuwa umegombana na mkeo.
1..Je Ni kweli nikioa basi niwe na Nyumba ndogo?
2..Je Ni aina gani ya Nyumba ndogo niwe nayo? ( Mmama, Msichana mdogo,au shangingi?)
3. Na niwezaje kuficha mke wangu asijue?
Nisionekane natania kwa hili maana wapo wengi wameoa na wana nyumba ndogo kama una utaalamu wa kumiliki nyumba ndogo toa ushauri hapa na kama ni vibaya kuwa na nyumba ndogo pia nipe sababu.
Nawasilisha kwenu.........
Lengo nikuwaomba ushauri kwenu najua mtanisaidia ili niweze kufanikiwa kwa hili ,sasa nataka kuagana na Ukapera na kuingia katika ndoa kama Mungu atanijalia.
Watu wengi wamekuwa wakisema kuwa ukioa lazima uwe na nyumba ndogo ili siku Mkeo akikuudhi basi uende nyumba ndogo ukajiliwaze, kwa kufanya hivyo basi unaweza kujikuta huwi na mgogoro na ndoa siku zote za maisha yako.Kwani nyumba ndogo inajua sana kufariji hasa pale unapokuwa umegombana na mkeo.
1..Je Ni kweli nikioa basi niwe na Nyumba ndogo?
2..Je Ni aina gani ya Nyumba ndogo niwe nayo? ( Mmama, Msichana mdogo,au shangingi?)
3. Na niwezaje kuficha mke wangu asijue?
Nisionekane natania kwa hili maana wapo wengi wameoa na wana nyumba ndogo kama una utaalamu wa kumiliki nyumba ndogo toa ushauri hapa na kama ni vibaya kuwa na nyumba ndogo pia nipe sababu.
Nawasilisha kwenu.........