Wadau,
Nahitaji Chumba (Master) iwe na Sebule maeneo yaliyotajwa hapo Juu kwa ajili ya Shemeji yenu Mtarajiwa!!!!
Maji yawe available, na pasiwe uswazi.
Shukrani!!!
Wadau,
Nahitaji Chumba (Master) iwe na Sebule maeneo yaliyotajwa hapo Juu kwa ajili ya Shemeji yenu Mtarajiwa!!!!
Maji yawe available, na pasiwe uswazi.
Shukrani!!!
Hajanituma mkuu,
Nataka tu nimfanyie surprise!!
Mitaa anayokaa sijaipenda
Mh..mbona hiyo bei yako ni tofauti na masharti yako.Nyumba nzima kwa laki na nusu kwa hayo maeneo uliyotaja tena iwe selfcontainer?hebu acha utani punguza makali ya masharti yako.Hebu sikia hii labda itakufaa.Kuna nyumba nzima inapangishwa ipo Mburahati NHC,kodi yake ni laki moja tu kwa mwezi na inatakiwa kodi ya mwaka mmoja.Ni selfcontainer,kama utahitaji tutawasiliana kupitia Private Message.
Mkuu nipigie chapuo basi mitaa ya huko!!!!Maisha ni tofauti sana mimi nakaa mitaa iliyotajwa na nina master sebule jiko na packing ya kutosha maji bwerere nalipa 120,000 wenye nyumba wengine wanajua maisha ya mjini yalivyotabu kwa hiyo hawapandishi kodi,sema tu akiingia dalali utasikia mwenye nyumba hapa tupangishe kwa laki2 au2.5,madalali wanasaidia lakini wanaongeza sana gharama,hata kama mwenye nyumba hana nia ya kuongeza kodi ,kaka komaa tu utapata,mbona hata kwa 100 tu!
Kwa laki mbili unapata nyumba ya specification ulizozitaja. Kama unayo nenda maeneo ya Colabas-K-Nyama, mtafute mama Hilal. Huyu ni dalali mzuri sana. Huyu mama hana longo longoMkuu nipigie chapuo basi mitaa ya huko!!!!
Huyu mama nitakua namfahamu, hua naoshaga gari pale opposite na Colabas karibu na Shule, ngoja nikamcheki!!Kwa laki mbili unapata nyumba ya specification ulizozitaja. Kama unayo nenda maeneo ya Colabas-K-Nyama, mtafute mama Hilal. Huyu ni dalali mzuri sana. Huyu mama hana longo longo
Umeninukuu vibaya mkuu wangu
Sihitaji Nyumba zima, nahitaj chumba na sebule, but hicho chumba kiwe na choo chake mkuu
Shwadakta..ni huyo huyo. Huwa anapoa kwenye kagenge flani hivi hapo karibu na car wash!Huyu mama nitakua namfahamu, hua naoshaga gari pale opposite na Colabas karibu na Shule, ngoja nikamcheki!!
Hahaha...mimi mzururaji tu ndani ya hili jiji. Niliishi hayo maeneo zamani nikiwa bachelor. Nina jamaa yangu mtangazaji wa clouds anaish maeneo hayo ndio huwa nakuja kusabahi hapo!Yeah,
Kale kagenge ka matunda.
Mkuu unapoa mitaa ile nini??
Mi nakaa Sayansi so pale ndio kijiwe changu cha kuoshea Gari!!
nawachukia madalali....wanaiba mchana kweupeeMaisha ni tofauti sana mimi nakaa mitaa iliyotajwa na nina master sebule jiko na packing ya kutosha maji bwerere nalipa 120,000 wenye nyumba wengine wanajua maisha ya mjini yalivyotabu kwa hiyo hawapandishi kodi,sema tu akiingia dalali utasikia mwenye nyumba hapa tupangishe kwa laki2 au2.5,madalali wanasaidia lakini wanaongeza sana gharama,hata kama mwenye nyumba hana nia ya kuongeza kodi ,kaka komaa tu utapata,mbona hata kwa 100 tu!