Man Ngosha
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 219
- 69
Habari wana Jf,
Mi ni kijana wa kiume miaka 27,mkiristu,mrefu,naishi Dodoma!Nahitaji msichana ambaye atakuwa mpenz wangu wa moyo na baadae tutaishi wote na kujenga familia yenye furaha na amani.Umri wake uwe miaka 20 -23,mkiristu, mrefu wastani,asiwe mnene sana wala mwembamba sana,awe na degree/degree au anatarajia kugraduate!Itafaa zaidi akiwa Dodoma pia.
Aliye serious na mahusiano aniPM
Mi ni kijana wa kiume miaka 27,mkiristu,mrefu,naishi Dodoma!Nahitaji msichana ambaye atakuwa mpenz wangu wa moyo na baadae tutaishi wote na kujenga familia yenye furaha na amani.Umri wake uwe miaka 20 -23,mkiristu, mrefu wastani,asiwe mnene sana wala mwembamba sana,awe na degree/degree au anatarajia kugraduate!Itafaa zaidi akiwa Dodoma pia.
Aliye serious na mahusiano aniPM