Naitwa emmi,nahitaji mwenza wa maisha miaka kuanzia 39-43 awe na siha njema mwenye muonekano mzuri awe mcha Mungu na awe mwenye kujishughulisha,kujiamini,awe na mtoto walau mmoja.Je wewe una sifa hizo?ni PM
Mimi nina miaka 33 ninafanya kazi Dar,kama na wakujaribu pliz usipoteze muda wako bure.
Natanguliza shukrani.
Mimi nina miaka 33 ninafanya kazi Dar,kama na wakujaribu pliz usipoteze muda wako bure.
Natanguliza shukrani.