Teh teh tehNipo hapa mummy,come inbox tuyajenge
Kuanzia darasa la saba mpaka unafika Chuo ukuweza kumpata wako? Mungu akusaidie humu JF uweze kutimiza haja yakoMimi ni mdada mwenye miaka 31, Mkristo, na nimwajiriwa. Elimu yangu ni shahada. Nahitaji mwanaume ambaye yupo tayari kuanzisha familia, umri kuanzia 31 kwenda juu, njoo pm.
47 years mama tuachie nasisi. This is not fairMimi ni mdada mwenye miaka 31, Mkristo, na nimwajiriwa. Elimu yangu ni shahada. Nahitaji mwanaume ambaye yupo tayari kuanzisha familia, umri kuanzia 31 kwenda juu, njoo pm.
Jee akiwa chini ya umri huo na amekupenda na amekubali kuanzisha mahusiano na sifa zote anazo utamkataMimi ni mdada mwenye miaka 31, Mkristo, na nimwajiriwa. Elimu yangu ni shahada. Nahitaji mwanaume ambaye yupo tayari kuanzisha familia, umri kuanzia 31 kwenda juu, njoo pm.
antbook huyooYaani uko gizani, huelewi maana ya shahada? Lazima wewe ni ukawa.