Nahitaji mwanamke wa kumlipa anizalie mtoto kwa mkataba.

mama anamawazo chanya kama yangekua hasi ningekwepa
hebu fikiria kanizaa
kanilea
kanipeleka shule
mpaka hapa nilipo i've never knew my fadher je hapo kwa swala la mtoto nimkatalie?

baada ya kukufanyia hayo yote anataka fadhila ya mjukuu.....kwa upande wangu sijaona kama ni hoja ya kukuumiza kichwa kufikia kutaka kwa lazima mtoto hata kama hujajianda.........kila la heri mkuu
 
Kwa maana nyingine unataka kuuziwa mtoto,

no,nataka kupata mtoto kutoka kwa mtu atakae kuwa tayar kufanya hivyo na kama atakataa mimi kulipa bac tutatengeneza mkataba wa aina anayotaka yeye
ivi kulipa mahari ni kumuuza mtoto wenu?
Pesa hiyo ni kama shukran au zawad but haimaanish ananiuzia mtoto
umetoa swal zur kuliko anayesema utoto bila kujenga hoja au kuuliza swali
 
Poor you!!!! Huyo mama yako anaumwa ugonjwa ambao doctor amemhakikishia hatashi miaka michache ijayo au ni kitu gani? Kama ni mzazi na anataka usome na ufaulu upate maisha basi akuache umalize shule ndipo uoe kabisa. Kwa nini azalwe mtoto aishi na mzazi mmoja na msipooa basi aishi na mama wa kambo? Kwa hakika kwa tunavyoona si vema kabisa mtoto kuishi na mama au baba wa kambo, inasumbua sana kimalezi na saikolojia ya mtoto. Pinga hiyo na mueleweshe mama yako.

mawazo mazuri nitayafanyia kaz
poor me!?how,kwa kuomba ushauri?
 
unaona ni jinsi gan unashindwa kupambanua mambo
katika kanuni za kuuliza na kupinga hoja ya mtu huwa hatumuulizi mtu maana ya neno mojamoja unachukua maana ya text nzima na kuijengea hoja yakupinga kile kilichoandikwa coz kila neno linamaana tofauti katika kila sentensi
duh,nimegeuka mwalim
jibu swali dogo toa maana ya neno kejeli! Unamwandikia nani insha hapa nyie ndio mnaishiaga kuwapatisha watu ban kwa mapumba yenu,
 
this is beyond my wildest imaginations, sikutegemea kama kuna watu wana mawaza ya hivi, yani we unashindwa kumpa mimba demu wako kijanja, yani wewe ni MTOTO WA MAMA nambari moja

huyo mwanamke siyo mjinga kama unavyofikiri
amesoma pcb kwa ufaulu wa point 6 na bado anachukua udactari hivyo biology haimpig chenga
labda unipe kanuni ninayoweza kuitumia naweza nikaifuata
 
Kidotulotokordwak mwanamke hata akiwa raisi udhaifu wake mbele ya mwanaume unabaki palepale, sema we sio creative enough kuwasoma wasichana, mkataba wa nini wewe? anyways labda different people have different approaches to solve problems.
 
Last edited by a moderator:
kumbe shida yako ni kukusolewa una matatizo ya akili wewe sio mzima

tukisema serekali iongeze mishahara ya walimu msipinge kwaajili ya watu kama nyie
ninamaanisha ukiweza kujenga hoja ya kupinga kitu hauwezi kuandika utumbo kama wako
chukua mfano wa tahariri za wahariri wanavyokosoa baadh ya vitu katika jamii
sikumaanisha watu wanipinge ila kama kumeonekana kosa ktk maandish yangu ujenge hoja kwa kivip nilichokiandika ni kosa
tasnia ya uandish haitakiwi umuache mtu akijiu liza swal
kama unasema utoto how?jenga hoja
 
na mimi nataka wa kunipa sperm tu,mengine yote namaliza mwenyewe.vigezo nitakuja kuviweka.
 
[/COLOR]
Tatizo sio kushindwa kumlea.Je huyo mwanamke utakayekuja kufunga naye ndoa atakuja kuwa tayari kumjali na kumtunza huyo mtoto kama mwanaye wa kumzaa.Maana tuna mifano hai ya baadhi ya watoto wanaolelewa na baadhi ya Mama wa Kambo wanavyowanyayasa hao watoto.

kuhusu kuoa baada ya kupata huyo mtoto hilo bado halipo kichwani na kama niliyezaa naye atakubali tuvunje mkataba(kisheria) na kuishi kama mume na mke ni hisia zetu zitaongea
naheshm mawazo yako
 
dah mtoto ni muhimu kuwa naye, lakini huu mtindo unaotaka kumpata si sahihi kabisa.
1. Itafanya mtoto ajione bidhaa iliyo nunuliwa ki mkataba

2. Itamkosesha mtoto mjapenzi ya mama mana atakua akiona kua alizaa kwa lazima ya fedha
3. Itakulazimisha kuwa na mtoto nje ya ndoa na yaweza kupelekea ugomvi na mke utakae muoa.
4. Mtoto kuwa nae si tu kumleta duniani ila ni mambo mengi si tu kumpata ili kujifurahsha au kumfurahisha bibi. Mtoto ni tunda la upendo na furaha ya nyumba..

SWALI. Unasoma kozi gani na unapenda kufanya kazi gani?
2.mama yetu kitaaluma ni nani na anafanya kazi gani?
 
Sorry ila hapo mama yako anakupeleka pabaya!Anafurahiaje wewe uzae nje ya ndoa au hata vitabu vya dini hamsomi?Je huyo utakae zaa nae huoni unamuharibia maisha kama hutamuoa?mama yako anashindwa nini kusubiri usettle?
 
hapo ndg umeanza kutoka nje ya maadili ya kawaida kabisa!!! hivi unajua kuwa mtoto akizaliwa ana haki ya kupata upendo na malezi toka kwa Baba na Mama hadi akijakuwa mtu mzima, asomeshwe na ahudumiwe nanyi kwa pamoja? ukifanya hivyo unavyotaka kufanya ni kuwadhalilisha wanawake, huku ni kuwafanya wanawake kama "chombo" cha wewe kutimizia malengo yako na hitaji la mama yako. Namwonea huruma mwanamke yule atakayekuwa tayari kudhalilishwa eti kwa kigezo cha kulipwa!!!! kumtii mama si maana yake "kukubaliana naye kila kitu". Kumbuka wewe unajukumu kubwa la kujenga maisha yako na heshima yako mbele ya jamii kwa kuonesha kuwa huendeshwi kwa matakwa ya mzazi hususani katika jambo kubwa kama hili. Usijiingize kwenye tatizo la kumleta duniani mtoto atakayekosa "upendo wa baba na mama". Na kwa yule binti au mwanamke atakayekubaliana na "dili" hili narudia tena atakuwa anajidhalilisha kwani atakuwa amejifanya kuwa chombo au kitega uchumi. ama kweli duniani kuna mambo, sijajua ni dini gani hasa inaruhusu hizi ndoa za mikataba? au ni kwa utamaduni wa kabila gani hapa TZ, mambo haya yanapokeleka. Tuache mtindo wa "copy and paste" wa tamaduni za wenzetu huko Ulaya. Yawezekana nikaonekana mshamba lakini kwa vile hapa tunaelimishana na kushauriana, basi nashauri kuwa jenga staha yako mbele ya mama yako kwa kumweleza kuwa yule unayetarajia aje kuwa mtoto wako ana haki ya kuja kufurahia malezi na upendo wa Baba na Mama, na hivyo akusubiri hadi pale utakapofikia hatua ya kupata mtoto kwa ustaarabu murua wa kijamii na kwa imani yako. Kama ni kufa mama, usihofu hilo litakuja kutokea tu siku moja na kama ni mapenzi yake Mola inawezekana ukafa hata kabla mpango huo anaoutaka mama hujautekeleza. Tusipotoshe maadili kwa visingizio kama hivi. Naomba kuwasilisha.

thanx for ur time"tunaelimishana"nimelipenda hili neno
naomba unisaidie kwa haya
1.je jamii za kiafrika kutoa mahar ni halali alafu yule mtoto akateseke?
2.kwa mtu mwenye wake wa 3 katika mikoa(maeneo )tofautitofauti coz kuna din zinaruhusu(sina maana mbaya)na unakuta baba anatumaga hela za matumizi je hawa wanapata haki ya malezi ya pande mbili?
3.je kwa wazaz walioko hai na may be wanafanya biashara kubwa za kusafiri hivyo muda mwing watoto wapo na house maid/uncle or whatever je hawa wanapata malezi ya pande mbili kama inyoitajika?
4.naomba unipe maelezo kuhusu malez ya pande mbili kwa kuzingatia hayo maswali hapo juu,
 
Source ya kipato chako ni wapi maana kwa umri wako wa miaka 23 kwa mazingira ya Tanzania jeuri ya mpaka kumtafuta mwanamke akuzalie umpe hela maana yake una hela nyingi na kama unazo uhakika wa fedha zako ukoje maana mimba isije ikafika miezi 6 ela baba imekata ghafla au akaunt yako imefungwa kwa kuwa ndugu wameenda kufungua kesi labda ni ela za urithi hivyo hawajaridhika na mgawanyo alafu mwanadada anabaki hoi, unless kama unalipa advance kwanza ambayo itaonyesha upo serious

good question
katika mkataba utaeleza ni jinsi gani malipo yatafanyika na kwa kipind cha kuanzia atalipwa nusu ya kiwango cha makubaliano na baada ya mtoto kuzaliwa kiwango kitamaliziwa
hata ivyo kuna e-mail nimepokea ktk mwanza yeye anasema hataitaj malipo katika mkataba bali kuwa mke kamili,so still challenges zinakuja kuhusu aina ya mkataba ila huo ulikua ni mwanzo tu
thanx for ur time
 
jibu swali dogo toa maana ya neno kejeli! Unamwandikia nani insha hapa nyie ndio mnaishiaga kuwapatisha watu ban kwa mapumba yenu,

ingekuwa bungeni wanapinga hoja kwa kutukana iv ingekuaje?emotions zipo lakini siyo matusi
sina utamadud wa kutukana ila ninautamaduni wa kupinga hoja
 
Kidotulotokordwak mwanamke hata akiwa raisi udhaifu wake mbele ya mwanaume unabaki palepale, sema we sio creative enough kuwasoma wasichana, mkataba wa nini wewe? anyways labda different people have different approaches to solve problems.

nategemea unipe at least 3 approaches that i can use to solve the situation ila ukiniambia njia zipo na haujanitajia hata moja utakua ujanisaidia
waiting.......,
 
Last edited by a moderator:
dah mtoto ni muhimu kuwa naye, lakini huu mtindo unaotaka kumpata si sahihi kabisa.
1. Itafanya mtoto ajione bidhaa iliyo nunuliwa ki mkataba

2. Itamkosesha mtoto mjapenzi ya mama mana atakua akiona kua alizaa kwa lazima ya fedha
3. Itakulazimisha kuwa na mtoto nje ya ndoa na yaweza kupelekea ugomvi na mke utakae muoa.
4. Mtoto kuwa nae si tu kumleta duniani ila ni mambo mengi si tu kumpata ili kujifurahsha au kumfurahisha bibi. Mtoto ni tunda la upendo na furaha ya nyumba..

SWALI. Unasoma kozi gani na unapenda kufanya kazi gani?
2.mama yetu kitaaluma ni nani na anafanya kazi gani?

1.kuhusu taaluma ni bachelor of science in information system
2.kuhusu kaz singependa kuitaja coz hairuhusiwi ila kutokana na uhuru wa jf kuhifadhi privacy za watu nitakuambia
nilipo kuwa form 5 second term watu wa usalama wa taifa walinichukua though siyo mwajiriwa rasmi but wananilipa kwa mkataba wa muda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom