Nahitaji Mtaalamu wa Kuchora Ramani ya Mabanda ya Kuku

KIJANA2013

JF-Expert Member
Jan 21, 2013
465
200
Habari Wanajukwaa!

Nahitaji ramani ya ujenzi wa mabanda ya kuku. Idadi ya kuku ni Elfu Tatu (3,000). Ramani hiyo iwe na sehemu ya kuweka incubators mbili zenye uwezo wa kutotoa mayai 13,000. Iwe na sehemu ya mashine ya kutengeneza chakula cha kuku, iwe na ofisi, stores na facilities zingine. Biosecurity izingatiwe. Ukubwa wa eneo ni hekari moja, lakini linaweza likaongezeka hadi hekari mbili.

Nawasilisha
 
Kwanza nakupongeza ...

Pili waendee wachora ramani uwape mawazo yako kwa maongezi ya mezani.. wao wataibuka na mchoro unaokufaa ila kumbuka kufuata kanuni za ufugani ambazo zinaelekeza kuku wangapi wanapaswa kukaa sehemu yenye ukubwa kiasi gani bila shida.
 
hongera sana mkuu kwa juhudi hizo je wale wanaochora ramani za nyumba wanakufaaa au wako tofauti na whao wa ramani za mabanda
 
Mkuu Mimi naweza kukuchorea michoro ya Hilo Banda la Kuku la kisasa kabisa, na uhitaji wote, but kuhusu majengo mengine ungetafute wachoraji ramani WA nyuma,, Mimi Ni mchoraji (fine art artist) Na designer pia, so naweza kukuchorea Na kukufanyia designing nzuri, coz michoro ya mabanda ya kuku WA kisasa yanahitaji uwe zaidi ya mchoraji WA ramani, yanataka ubunifu zaidi, ukiwa interesting karibu PM!
 
Habari Wanajukwaa!

Nahitaji ramani ya ujenzi wa mabanda ya kuku. Idadi ya kuku ni Elfu Tatu (3,000). Ramani hiyo iwe na sehemu ya kuweka incubators mbili zenye uwezo wa kutotoa mayai 13,000. Iwe na sehemu ya mashine ya kutengeneza chakula cha kuku, iwe na ofisi, stores na facilities zingine. Biosecurity izingatiwe. Ukubwa wa eneo ni hekari moja, lakini linaweza likaongezeka hadi hekari mbili.

Nawasilisha
kwa ushauri tu, kama uko karibu na SUA waendee watakupa ushauri yakinifu, au kama una Agricultural engineer karibu unaweza wasiliana nae kwa ushauri kuhusu ramani na ujenzi
 
Habari Wanajukwaa!

Nahitaji ramani ya ujenzi wa mabanda ya kuku. Idadi ya kuku ni Elfu Tatu (3,000). Ramani hiyo iwe na sehemu ya kuweka incubators mbili zenye uwezo wa kutotoa mayai 13,000. Iwe na sehemu ya mashine ya kutengeneza chakula cha kuku, iwe na ofisi, stores na facilities zingine. Biosecurity izingatiwe. Ukubwa wa eneo ni hekari moja, lakini linaweza likaongezeka hadi hekari mbili.

Nawasilisha

kuku4.jpg
 
Habari Wanajukwaa!

Nahitaji ramani ya ujenzi wa mabanda ya kuku. Idadi ya kuku ni Elfu Tatu (3,000). Ramani hiyo iwe na sehemu ya kuweka incubators mbili zenye uwezo wa kutotoa mayai 13,000. Iwe na sehemu ya mashine ya kutengeneza chakula cha kuku, iwe na ofisi, stores na facilities zingine. Biosecurity izingatiwe. Ukubwa wa eneo ni hekari moja, lakini linaweza likaongezeka hadi hekari mbili.

Nawasilisha
kupata ramani nzuri za mabanda ya kuku na kwa bei nafuu nicheki 0752450273 or0716530994
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom