Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
Habari zenu ndugu wapendwa,
Ninafanya utafiti kuhusu biashara ya Vyakula vya nafaka kama mchele,maharage unga n.k
Kama kuna yeyote mwenye idea na hii biashara nitakushukuru kama nikipata uzoefu.
Utafiti ni wa kuanzisha duka la vyakula hapa Dar es Salaam na ningependa kujua hasa soko,location nzuri ,manunuzi n.k.
Asante
Ninafanya utafiti kuhusu biashara ya Vyakula vya nafaka kama mchele,maharage unga n.k
Kama kuna yeyote mwenye idea na hii biashara nitakushukuru kama nikipata uzoefu.
Utafiti ni wa kuanzisha duka la vyakula hapa Dar es Salaam na ningependa kujua hasa soko,location nzuri ,manunuzi n.k.
Asante