Nahitaji msaada

Zion Daughter

JF-Expert Member
Jul 9, 2009
8,921
4,235
Habari zenu ndugu wapendwa,
Ninafanya utafiti kuhusu biashara ya Vyakula vya nafaka kama mchele,maharage unga n.k
Kama kuna yeyote mwenye idea na hii biashara nitakushukuru kama nikipata uzoefu.
Utafiti ni wa kuanzisha duka la vyakula hapa Dar es Salaam na ningependa kujua hasa soko,location nzuri ,manunuzi n.k.
Asante
 
Mkuu kwa sehem za uswahilini inalipa sana na ndo shm bidhaa ya chakula inatoka kwa speed kubwa
 
Habari zenu ndugu wapendwa,
Ninafanya utafiti kuhusu biashara ya Vyakula vya nafaka kama mchele,maharage unga n.k
Kama kuna yeyote mwenye idea na hii biashara nitakushukuru kama nikipata uzoefu.
Utafiti ni wa kuanzisha duka la vyakula hapa Dar es Salaam na ningependa kujua hasa soko,location nzuri ,manunuzi n.k.
Asante

is your research for academic reasons or for a business plan
Mkuu hebu kasome kwenye red pale kwa sauti na urudie mara mbili kama utakuwa bado hujaelewa.

Bibie Zion Daughter kwanza nikupongeze kwa kuwa na mkakati wa kuwa mjasiriamali. Biashara ya kusubiria vimshahara vya wakoloni samtaimz ni utumwa mwingine. Labda ungeweka wazi hasa unalenga kufanya biashara ya Jumla au rejareja ili wajuzi wamwage mapwenti ya kukusaidia zaidi.

Mungu akutangulie katika mkakati wako (Siku hizi nimeshakuwa mtu mzima)
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli umeikurupukia hii habari maana alichokieleza hapo juu kinajibu swali lako embu isome kisha uondoe swali lako!

unaweza kufanya utafiti wa kuanzisha duka la vyakula kwa ajili ya masters degree au hata first degree ..... ukaandika kitabu na kutoa recommendations

ninachouliza hapa hujaelewa, je utafiti huu ni kwa kukidhi wazo la biashara au kwa ajili ya matakwa ya takwimu za kibiasashara
 
unaweza kufanya utafiti wa kuanzisha duka la vyakula kwa ajili ya masters degree au hata first degree ..... ukaandika kitabu na kutoa recommendations

ninachouliza hapa hujaelewa, je utafiti huu ni kwa kukidhi wazo la biashara au kwa ajili ya matakwa ya takwimu za kibiasashara

Yeye anataka tu kufanya biashara na si vingine kwa nilivyomwelewa ama nae atuweke sawa
 
Mkuu hebu kasome kwenye red pale kwa sauti na urudie mara mbili kama utakuwa bado hujaelewa.

Bibie Zion Daughter kwanza nikupongeze kwa kuwa na mkakati wa kuwa mjasiriamali. Biashara ya kusubiria vimshahara vya wakoloni samtaimz ni utumwa mwingine. Labda ungeweka wazi hasa unalenga kufanya biashara ya Jumla au rejareja ili wajuzi wamwage mapwenti ya kukusaidia zaidi.

Mungu akutangulie katika mkakati wako (Siku hizi nimeshakuwa mtu mzima)

Asante mpendwa wangu..Naona unakumbuka wajibu wako vema....
Katika hili swali la nyongeza naomba nikujibu kuwa nataka nifanye biashara ya rejareja...Nasubiri mapweinti kwa hamu kubwa...
 
mdizi...ninataka kufanya biashara Shine asante kwa uelewa wa haraka na wazo zuri la location...
 
Last edited by a moderator:
Asante mpendwa wangu..Naona unakumbuka wajibu wako vema....
Katika hili swali la nyongeza naomba nikujibu kuwa nataka nifanye biashara ya rejareja...Nasubiri mapweinti kwa hamu kubwa...
Pouwa.... wasipokupa mapwenti usisahau kunidipu nikupe mapwenti ya kimangimangi.:spy:
 
mdizi...ninataka kufanya biashara Shine asante kwa uelewa wa haraka na wazo zuri la location...

respect mkuu ... crystal clear nashukuru umeelewa point yangu ..... tupo pamoja

best location ni mahali ambapo pana influx ya residential premises with an average income earners .... pia jitahidi kuangalia eneo lililo na maduka ya reja reja mengi na uuzee bei kama za tandale ...tegeta can be very good
 
unaweza kufanya utafiti wa kuanzisha duka la vyakula kwa ajili ya masters degree au hata first degree ..... ukaandika kitabu na kutoa recommendations

ninachouliza hapa hujaelewa, je utafiti huu ni kwa kukidhi wazo la biashara au kwa ajili ya matakwa ya takwimu za kibiasashara
Yaani wewe nahisi ulipomaliza shule waalimu wako walishukuru Mungu!
Huelewi na haujielewi pia!
 
Yaani wewe nahisi ulipomaliza shule waalimu wako walishukuru Mungu!
Huelewi na haujielewi pia!

dah ... wewe ni mwerevu sana ... hongera sana ... soma reply ya mleta mada kwa swali langu ... amejibu sawia na yeye ni muelewa kuliko king'asti ... sijui nani hapa hajielewi
 
Ktkvitongoji vipya kama Kinyerezi,segerea unaweza kupiga bao, niko mitaa hiyo,mara nyingi naona wengi wanakwenda Tandika kufuata mchele, unaweza fungua duka lako huko na ukavuna sana kabla watu hawaja-kopi na kupesti.
 
Nakushauri kuzingatia yafuatayo na utafanikiwa ktk biashara yako. Biashara ya nafaka ni nzuri kwa sababu kila mtu ni lazima apate angalau mlo mmoja kwa siku.
1. Eneo utakalofantia biashara. Je lina idadi kubwa ya watu ambao unatarajia kuwa watakuwa wateja wako?
2. Bei. Je bei ya bidhaa zako itakuwa na unafuu kidogo kulinganisha na competitors wengine. Zingatia kuwa uhitaji na upatikanaji wa bidhaa ndio unapanga bei ya bidhaa.., ila jaribu kuweka bei ya chini kidogo ili uuze kwa kasi zaidi.
3. Ubora wa bidhaa. Inategemea na eneo utakalofanyia biashara yako. Kwa wale wanaojali ubora wa hali ya juu weka bidhaa zenye ubora. Pia ni vizuri kufikiria namna utakayofanya kuongeza ubora kama kuweka vifungashio vinavyovutia.
4. Masoko. Unaweza kutafuta masoko kwenye mahoteli, hosptitali, mashule, mama ntilie kwa sababu wanaweza kununua kiasi kikubwa cha nafaka kwa wakati mmoja.
Kwa ushauri zaidi unaweza ukani-PM
 
Back
Top Bottom