e2themiza
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 974
- 563
Mkuu soon ntakuja na mambo mapya wengi wamenipm maujanja mapya sema nimeshndwa wajibu coz bdo mambo ni complicated sana mtu kuelewa..na process kibao yani mkuu ni noumer sasa jana ilifika 500KBps duuh. So kabla wk haijaisha hii i think mambo ntayarahisisha na kuzijibu pm za watu on how to do it.hivi kamanda ile trick ya zantel haiwezekani kuongeza speed kidogo?