Pole kwa yaliyokukuta dada.ki ukweli ni kwamba wanaume tumetawaliwa sana na tamaa so ni rahisi kucheat hata kama anakupenda.Nyie wanawake mnatakiwa muwe mnatuombea sana.Kumwacha mme wako sio wazo zuri kabisa cha msingi msamehe cz atleast huyo anakucheat na hilo jimama moja utakuja kuingia pabaya ukajikuta kwenye chain ukajilaumu afadhali ulikotoka.So huu ni wakati mzuri wa kuimarisha ndoa yako si kuomba taraka,utaomba kwa wangapi?na wakati sisi wanaume asilimia karibu zote mwalimu wetu ni mmoja kipofu
Kinachoonekana hukutegemea kama mmeo anaweza kukucheat ukasahau na yeye ni binadamu so lolote laweza kutokea.Ni misuko suko tu ya ndoa usione wazee wetu wamevumiliana mengi ndo wamefika walipo.Muombe Mungu akupe ujasiri unaweze kusahau na kusonga mbele, fanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.
Kuhusu swala la kuchungwa kwa kiasi fulani ni wewe ndo unaelisababisha cz jamaa anaona u dnt care him anymore anakuwa unsecured so jitahidi kumpa full support atakucha huru kama zamani.
May God Bless Your Family
Kinachoonekana hukutegemea kama mmeo anaweza kukucheat ukasahau na yeye ni binadamu so lolote laweza kutokea.Ni misuko suko tu ya ndoa usione wazee wetu wamevumiliana mengi ndo wamefika walipo.Muombe Mungu akupe ujasiri unaweze kusahau na kusonga mbele, fanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.
Kuhusu swala la kuchungwa kwa kiasi fulani ni wewe ndo unaelisababisha cz jamaa anaona u dnt care him anymore anakuwa unsecured so jitahidi kumpa full support atakucha huru kama zamani.
May God Bless Your Family