Nahitaji msaada wa mawazo.

Pole kwa yaliyokukuta dada.ki ukweli ni kwamba wanaume tumetawaliwa sana na tamaa so ni rahisi kucheat hata kama anakupenda.Nyie wanawake mnatakiwa muwe mnatuombea sana.Kumwacha mme wako sio wazo zuri kabisa cha msingi msamehe cz atleast huyo anakucheat na hilo jimama moja utakuja kuingia pabaya ukajikuta kwenye chain ukajilaumu afadhali ulikotoka.So huu ni wakati mzuri wa kuimarisha ndoa yako si kuomba taraka,utaomba kwa wangapi?na wakati sisi wanaume asilimia karibu zote mwalimu wetu ni mmoja kipofu

Kinachoonekana hukutegemea kama mmeo anaweza kukucheat ukasahau na yeye ni binadamu so lolote laweza kutokea.Ni misuko suko tu ya ndoa usione wazee wetu wamevumiliana mengi ndo wamefika walipo.Muombe Mungu akupe ujasiri unaweze kusahau na kusonga mbele, fanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi.

Kuhusu swala la kuchungwa kwa kiasi fulani ni wewe ndo unaelisababisha cz jamaa anaona u dnt care him anymore anakuwa unsecured so jitahidi kumpa full support atakucha huru kama zamani.

May God Bless Your Family
 
pole sana DADA angu..........ila kuwa mvumilivu

unajua baadhi ya wanaume tunatamaa sana but pindi tukifumaniwa huwa haturejei tena tlikotoka.....so mpe nafasi nyingine
 
Habari wana jamii wenzangu. Nimeolewa, kabla sijapatwa na mkasa ninaotaka kuwaeleza nilikuwa namuamini sana mume wangu. Mwaka jana mwezi wa 6 nikagundua kuwa ana mwanamke (mama mtu mzima ) Kuanzia hapo moyo wangu umekuwa mgumu sana kumwamini ingawaje tulishayaongea na alikiri na kuniomba sana msamaha ila kuna wakati kumbukumbu zinanijia na ghafla najikuta namchukia mno. Niasaidieni cha kufanya coz nahisi nimeathiriwa na tukio kwa kiasi kikubwa sana. Imefikia mahali sifurahii tena tendo la ndoa na kuna wakati naweza kumnyima hata mwezi mzima. Kabla ilikuwa tunashirikiana vizuri tu ila kwa sasa nipo nipo tu. Huwa najiuliza je kama niliweza kumtimizia kila kitu kama mume na bado akanisaliti kwa nini niendelee wakati nmeshagundua kuwa hatosheki? Kweli naishi nae basi tu ila moyoni kwangu hayupo kabisa. Nilishamwomba tuachane kwa upendo akakataa eti tutamwathiri mtoto, eti bado ananipenda ni shetani tu alimpitia na hatampitia tena. Anachonikera zaidi ameanzisha tabia ya kunichunga kama mbuzi, hata nikienda saluni siondoki mpaka aje kunichukua, madai yake eti anaogopa nitamlipizia. Nikiwa kazini cm masaa yote na anafika kunichukua dakika 5 kabla ya muda wa kazi kuisha. Nisaidieni wajameni coz kweli sina upendo na huyu mtu. Hilo jimama alishaliacha na viapo tele kuwa hatarudia tena. MOYO MGUMU KUSAMEHE! NIFANYEJE???
PM me,
we can't talk here some details.
And don't worry I'm a person of integrity
NOTE: If only you really need help and not otherwise!
 
ok ndg yng i will do it, mida ya mchana. 2ko na kikao cha kiofc. 2tabrek sa 6:30. Thanx a lot!
PM me,
we can't talk here some details.
And don't worry I'm a person of integrity
NOTE: If only you really need help and not otherwise!
 
Jifunze kusamehe 7 mara 70 na mungu atakubaliki!!kutoka nje ya ndoa ni roho ya shetani,pia kutokusamehe ni roho ya shetani!!ni vizuri kumsamehe tu!!
 
ok ndg yng i will do it, mida ya mchana. 2ko na kikao cha kiofc. 2tabrek sa 6:30. Thanx a lot!
welcome,
know that you are in my prayers. Happy marriage is God's plan. bitter marriage is devil's plant and sometimes our plant/ignorance.

May God grant you peace and deal with your marriage!
 
nafikiri kuwa unampenda sana na huko tayari kumuacha ila ni hizo nightmare za huyo mama pekee. hakuna dawa dada zaidi ya kumsamehe tu, tena bila masharti. kumbuka kuwa imeandikwa "kwa maana msipowasamehe watu makosa yao wala Baba yenu wa mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu". nakutakia amani na tafakari njema
 
welcome,
know that you are in my prayers. Happy marriage is God's plan. bitter marriage is devil's plant and sometimes our plant/ignorance.

May God grant you peace and deal with your marriage!

yeshua umeandika vyema sana, ubarikiwe na Bwana
 
Back
Top Bottom