Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
Mtoto wa kaka yangu alifeli kidato cha 4. Nataka nimfungulie ofisi. Je, kati ya saluni ya kiume na biashara ya mitumba ipi inalipa vizuri? Kiasi ninachotaka kumpa ni Tsh 3,000,000/. Na kama mtaona(wana-jf) kuwa labda hicho kiasi hakitoshi, naomba mnipe wazo mbadala ili tumuokoe kijana huyu. Maana amekosa uelekeo kabisa.