The cellphone cannot receive analog, DVB-S or DVB-T signals (S=satellite, T=Terrestrial).
DVB-H (Digital Video Broadcasting - Handheld) transmission is a prerequisite for cellphones with DVB-H receiving capabilities to receive TV signals. The TV station has to transmit in DVB-H format for your cellphone to receive the signals. I am not sure whether we have stations transmitting in DVB-H.
Kama kuna TV station ambayo ina-transmit signals kwenye DVB-H format basi unaweza kupata maelezo zaidi kwenye manual yake. Kama huna manual unaweza ku-download kutoka:
Mkuu, sasa kama hio Nokia yako bado ni mpya na umenunua hivi karibuni inabidi uende katika website ya Nokia na usomesome kuhusu chombo chako hicho ambacho ni kabambe.
Pili technology ambayo Nokia96 inatumia kuangalia TV inaitwa DVB-H broadcast au Digital Video Broadcast Handheld kwa ajili ya simu za mikononi.
Sasa kupata Live TV zinazorushwa kwa mfano Tanzania kunategemea na service provider wako au broadcaster services kama TBC na kadhalika lakini kama ungekuwa mengine mengine kama Ulaya na Marekani na nchi kama South Afrika, usingekuwa na matatizo ya kupata hizo TV za bure zinazorushwa hewani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.