nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,369
Na mimi nilikuwa nafikiri hivo hivo...wanene wana usingizi mwingi na wanalala popote hata katikati ya mazungumzo.
Kama mnene dawa ni zoezi na diet; ni kwa afya yake pia si kwa afya ya penzi peke yake.
Kama mnene dawa ni zoezi na diet; ni kwa afya yake pia si kwa afya ya penzi peke yake.
Mke wako ni mnene sana?
Kama ndio mpigishe mazoezi ya JKT, jogging na ale matunda na mboga mboga kwa wingi. Apunguze vyakula vya mwanga na mafuta.
Aache kunywa jamii ya coca cola badala yake anywe maji ya dafu au ya kawaida tu na atumie mafuta ya nazi katika mapishi.
Kama ni mwembamba sana, mpe lishe ya kutosha na mazoezi.
Asipopata nafuu, mwone mganga/ daktari kwa ushauri na vipimo.