OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,498
- 605
sasa yapata wiki mbili sasa kuna vijipele vimenitoka karibu na sehemu za mapumbu,nimeenda hospitali nimepima hawajakuta tatizo lolote,wameeniambia kuwa inawezekana sababu naavaa nguo nyingi sana ndani,nimepunguza kuvaa nguo nyingi nimetumia dawa ya kupakaa sehemu iliyooadhirika na nyingine nimeambiwa kunya lakini kidonda hakijapona wala nini,naombeeni msaada jamani nduguzanguni