Wadau mimi ntaona faraja kama nitapata mpenzi mpya wakuanza naye mwaka yani 01/01/12 nakuwa naye kwa mwenye nia kama mimi pls PM! Vigezo sihitaji kwani kitendo cha kuwa JF nitosha wewe ni mjanja![/QUOTE]
USIJIDANGANYE. UJANJA NI KUZINGATIA VIGEZO!
Wewe vigezo jf??tukikutana hapo hapo nitavijua kama vinanifaa kama havifai atakuwa rafiki mwema.Wadau mimi ntaona faraja kama nitapata mpenzi mpya wakuanza naye mwaka yani 01/01/12 nakuwa naye kwa mwenye nia kama mimi pls PM! Vigezo sihitaji kwani kitendo cha kuwa JF nitosha wewe ni mjanja![/QUOTE]
USIJIDANGANYE. UJANJA NI KUZINGATIA VIGEZO!
Duuh! hatimaye nimembaini aliyenizibia kwako! tenk yu mwaka mpya kwa kunifumbulia siri!ina maana muda wangu unaisha kesho au.....
na mbona hukuniambia.....?
Wadau mimi ntaona faraja kama nitapata mpenzi mpya wakuanza naye mwaka yani 01/01/12 nakuwa naye kwa mwenye nia kama mimi pls PM! Vigezo sihitaji kwani kitendo cha kuwa JF nitosha wewe ni mjanja!
Fafanua kufanya matusi ndo nini??
Nimekupenda. je wewe ni mwanamke au mwanaume? Mimi ni dume. nakuhitaji. Mia