Nahitaji mpenzi wa kiume

Status
Not open for further replies.
Hawatajisikia vibaya kwa sababu niliwashirikisha ktk huo uamuzi na walilidhia

Pamoja na hayo kwani hakuna wazee au watu wa makao wanaojua mapenzi mpaka vijana???? Unataka wakung'oe kiuono ndiyo ufurahi???? Wewe mama kuwa kijana ni guarantee ya kuwa na nguvu lakini siyo kujua mapenzi na wewe shida yako ni mapenzi.

Halafu mtakuwa mnakutania wapi, guest au home??? Kama guest ni aibu utaingiaje na huyo dogodogo wako????

Think twice your decision.
 
Hizi ndizo zinaitwa "athari"za dunia kuwa kijiji na maendeleo yanakokimbia...
 
Pamoja na hayo kwani hakuna wazee au watu wa makao wanaojua mapenzi mpaka vijana???? Unataka wakung'oe kiuono ndiyo ufurahi???? Wewe mama kuwa kijana ni guarantee ya kuwa na nguvu lakini siyo kujua mapenzi na wewe shida yako ni mapenzi.

Halafu mtakuwa mnakutania wapi, guest au home??? Kama guest ni aibu utaingiaje na huyo dogodogo wako????

Think twice your decision.

Nyumbani naishi na msichana wa kazi tu.
Hyo tutakutania kwangu.
Napenda sana vijana kwani nilishawah kuwa nae hapo nyuma,ila nilimfumania.
 
Am a Tanzanian Woman.
Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue Mapenzi na Awe Handsome kiasi.
Mimi Nimetengana na Mume wangu.
Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.
Umri wangu ni miaka 55.
Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.
Ayajue mapenzi" What do u mean here?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom