Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
haaaaa na hao wanao wameoa wabibi kama wewe?Sioni aibu maana atakuwa kama mume wangu,na wanangu watamuheshimu kama baba yao.
haaaaa na hao wanao wameoa wabibi kama wewe?Sioni aibu maana atakuwa kama mume wangu,na wanangu watamuheshimu kama baba yao.
Mkuu King Kong III hivi hili neno maana yake huwa ni nini? Maana naona mara kwa mara unalitumia.
Kwani nataka nimzalie mtoto?
Me nina watoto wakubwa.
Wa kwanza yuko nje ameoa na ana familia yake.
He's 33yrs,na wengineo.
Hawatajisikia vibaya kwa sababu niliwashirikisha ktk huo uamuzi na walilidhia
Hawatajisikia vibaya kwa sababu niliwashirikisha ktk huo uamuzi na walilidhia
Sitaki aoe na sitaki atafute Mtoto.
Bhaaasi! nilitaka Niku PM lakini kwa sharti hil nieshindwaSitaki aoe na sitaki atafute Mtoto.
Pamoja na hayo kwani hakuna wazee au watu wa makao wanaojua mapenzi mpaka vijana???? Unataka wakung'oe kiuono ndiyo ufurahi???? Wewe mama kuwa kijana ni guarantee ya kuwa na nguvu lakini siyo kujua mapenzi na wewe shida yako ni mapenzi.
Halafu mtakuwa mnakutania wapi, guest au home??? Kama guest ni aibu utaingiaje na huyo dogodogo wako????
Think twice your decision.
Ayajue mapenzi" What do u mean here?Am a Tanzanian Woman.
Natafuta Kijana wa Kitanzania wa Kumlea,Almradi ajue Mapenzi na Awe Handsome kiasi.
Mimi Nimetengana na Mume wangu.
Sihitaji sifa zozote toka kwake,ila Mapenzi ndo ya Umuhimu.
Umri wangu ni miaka 55.
Yeye awe na kuanzia miaka 22-26.