Nahitaji mpenz

NOTHING4GOOD!

Pole sana.Halafu hata haya majina ya utani watu mnayojiita,yana gharama zake


Miss Judith,

Nadhani mume wako atakuja kuwa lucky sana...keep it up!
 
mhhhh!! you was single for seven yrs??? na sasa una miaka 23..so 23 ukiminus na hyo 7yrs inakuwa 16 mhhhh itakuwa utoto ndo ulisababisha
Habari mimi ni msichana.nina miaka 23 ni mweupe. Urefu nina cm 168.mnene kiasi nina uzito kg72 natafuta mpenz wa muda(mkataba) najua weng mtashangaa kwanini mapenz kwa mkataba. in short ni kwamba nilikua single for 7yrs baada ya kuumizwa na niliyekua naye katika kipindi kifup sana. nikachukia sana wanaume so naogopa kuumiza mkaka wa wa2 kama nitakua pado sijapona majeraha ya mwanzo. ila i promise kama 2taelewana 2naweza ongeza au kuondoa kabisa mkataba.ninaomba kwa wale 2 walio serious ndo wani PM. PIA Wawe na uhakika wakutoniumiza tena. Vigezo.: awe na mapenz ya kwel inatosha. Sichagui rangi, dini, umri, wala elimu. One who isUnder ma age no plz!!!
 
always na admire ur comments... ni kweli bado hajafikia umri wa kukata tamaa ni binti mdogo sana nahisi atakuwa bado yuko chuo kama anasoma
Mbona age yako ni ndogo sana kukata tamaa mpenzi, halafu unaongelea kuumizwa sana ukiwa na miaka saba nyuma yaani 17yrs! naamini hata aliyekuumiza alikuwa hajui anafanya nini, nakushauri usiingie haya mambo ya mkataba labda useme unahitaji mpenzi ambae makemistry yakikubali muendelee next level yaani uchumba. kwa mimi nakuona bado una muda mwingi wa kupata perfect match
 
Hii Mpenzi kwa mkataba bongo bado ngeni kidogo. ipo ipo vichwani mwa wenza wengi lkn hawaamabiani rasmi. Kila mmoja hubaki kuwa ni siri yake. Mtu pekee kwa sasa unayeweza kuwekeana mkataba genuin na ukaweza ku activate sometimes ni Dk W Slaa, huyu nimesikia hata kuazima anamudu. Kwa vile huchagui dini wala umri wekeana nae mkataba wa miaka 5, ili ikifika 2015 utapanada hedikopta na ukimudu maandamano utashirikiana nae katika kupigiwa na kupigwa makofi na wananchi.
 
wewe bado ni mtoto mdogo sana achna na mabo hayo nenda shule kwanza tena unaelekea uliyaanza mapema sana ndio maana uliumizwa kwasababu ulikua ujui unachokifanya, mimi nakushauri achaaaaaa muda wako bado sana!
 
always na admire ur comments... ni kweli bado hajafikia umri wa kukata tamaa ni binti mdogo sana nahisi atakuwa bado yuko chuo kama anasoma

Ahsante sana Just i am, it means so much kwangu kama nachocomment kinagusa mtu in one way or another. thanx again
 
mmmh! 23-7=17 au 16 duh kweli hisabati ni janga la kitaifa.

Hahahaha si unajua wakali wa hesabu huwa wanakosea vihesabu vidogo sana?? au hukumbuki? very sillysilly mistakes unapata 98 badala ya 100%. thanx
 
nothing fo good,
kwangu i dont care which city or which province u r ...kwakuwa hukuweka masharti magumu kabisa,
ila kwangu mm nina masharti moja au mawili yenye a be na che hivi
1.uwe tayari kwenda kupimwa ngoma,lazima uonyeshe cheti na badala ya hapo mguu kwa mguu hadi hospitali bingwa,hii ni kwa ajili ya usalama wetu, usi maindi.
2.usiwe mbumbumbu wa elimu.
3.kwa mtazamo wangu unaweza kuwa mzito,mnene mfupi kwangu kwani mm ni 177m,mwembamba,mtanashati.ningependa uwe tayari kuondoa aleji na gym.
4.kwakuwa mm nitakuwa ni wa kukupeleka moja kwa moja kwenye next level, basi kuwa mwepesi wa kutuma picha zako tatu hivi,kwenye mohsein@live.com ili nipate kujua jinsi muonekano wako.
5.kitu gani ambacho unakichukia kuhusu wewe mwenyewe hususani mwilini.
basi kama kweli ni mdada mwenye kutaka kizuri kutoka hapa, basi jibu maswali hayo.
nawakilisha!
 
duh! umemng'amua kuwa ni judith ...kudadeki!!
haya lete habari zake,maana kama ameanza kuwa muongo kabla hajakamata mtu humu si atakuwa mapepe huyu?
hahaha!
 
Hebu niambie,

Je mkataba wako upo wazi au sasa umefungwa. Nahitaji kujua ili tuwasiliane zaidi
 
Habari mimi ni msichana.nina miaka 23 ni mweupe. Urefu nina cm 168.mnene kiasi nina uzito kg72 natafuta mpenz wa muda(mkataba) najua weng mtashangaa kwanini mapenz kwa mkataba. in short ni kwamba nilikua single for 7yrs baada ya kuumizwa na niliyekua naye katika kipindi kifup sana. nikachukia sana wanaume so naogopa kuumiza mkaka wa wa2 kama nitakua pado sijapona majeraha ya mwanzo. ila i promise kama 2taelewana 2naweza ongeza au kuondoa kabisa mkataba.ninaomba kwa wale 2 walio serious ndo wani PM. PIA Wawe na uhakika wakutoniumiza tena. Vigezo.: awe na mapenz ya kwel inatosha. Sichagui rangi, dini, umri, wala elimu. One who isUnder ma age no plz!!!

Nothing4good, trust me ua now something4good. karib mama, ni wewe niliekua nakusubiri siku nyingi.
 
Kwa kuwa umesema hujafikiria kuolewa, na unahitaji mpenzi wa mkataba, Nimeona unafaa sana kuwa nyumba ndogo,
Na pia kwa experience uliyonayo ya mapenzi kuanzia miaka 13 au chini kidogo basi you can be the best nyumba ndogo mof the year!!
 
bado sijaelewa vizuri,una miaka 23 au 32?
siwezi kukulaumu kwamba ulianza mapenzi mapema ila tu bado ulikua na akili ya utoto na ulikutana na watoto wenzako.
huwezi jua mwanaume ambae yupo serious kama hujawa karibu nae kumtambua. na utakua na wangapi ili kumfikia huyo alie serious??
yatakiwa maarifa,kama ni kuumizwa hata wanawake nao mbona wanaumiza wanaume.
wewe onyesha msimamo wako na sikushauri mikataba maana najua wenye nia njema wapo wengi tu.pia mshirikishe mungu jambo lako katika sala ili akukutanishe na huyo atakaetuliza maumivu yako na usiumie tena. BE BLESSED.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom