Uncle Jei Jei
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,684
- 2,157
Nitakuchek baadae kwenye PM maana nahsi nilibarikiwa kipaji cha kufariji watu!! Then kila nikiona thread za kutafuta wapenzi nilikuwa nachukia coz ni za mamen kuwatafuta mabint! So ur welcom!!
Habari mimi ni msichana.nina miaka 23 ni mweupe. Urefu nina cm 168.mnene kiasi nina uzito kg72 natafuta mpenz wa muda(mkataba) najua weng mtashangaa kwanini mapenz kwa mkataba. in short ni kwamba nilikua single for 7yrs baada ya kuumizwa na niliyekua naye katika kipindi kifup sana. nikachukia sana wanaume so naogopa kuumiza mkaka wa wa2 kama nitakua pado sijapona majeraha ya mwanzo. ila i promise kama 2taelewana 2naweza ongeza au kuondoa kabisa mkataba.ninaomba kwa wale 2 walio serious ndo wani PM. PIA Wawe na uhakika wakutoniumiza tena. Vigezo.: awe na mapenz ya kwel inatosha. Sichagui rangi, dini, umri, wala elimu. One who isUnder ma age no plz!!!
asante mpenzi.
mi niliposoma tu, niligundua huyu bado ni mdogo sana. mi nina miaka 26 na sijaguswa na mwanume. yeye ana 23 na kishaumizwa zaidi miaka 7 iliyopita na sasa ameandaa kamkataba akidhani ni muarobaini wa kuumizwa! kweli shetani anawatesa watu! kwa kweli niliposoma niliona nisijihangaishe kujibu kitu, ila nilipoona jibu lako nikaona nikuunge mkono.
mdogo wangu umri wako ni mdogo sana. sijui umefika kiwango gani cha elimu na maisha kwa ujumla, lakini kwa umri wako na mipango uliyonayo, ni mapema sana. zingatia alichoshauri dada yetu Gaga na wengine. asante.
nisamehe kama nitakuwa nimekukwaza.
praise the Lord
wee ndie umemshauri la maana, nimekupendaMbona age yako ni ndogo sana kukata tamaa mpenzi, halafu unaongelea kuumizwa sana ukiwa na miaka saba nyuma yaani 17yrs! naamini hata aliyekuumiza alikuwa hajui anafanya nini, nakushauri usiingie haya mambo ya mkataba labda useme unahitaji mpenzi ambae makemistry yakikubali muendelee next level yaani uchumba. kwa mimi nakuona bado una muda mwingi wa kupata perfect match
Huku JF sikushahuri huku majeraha yatazidishwa nenda uswazi katafute wa bahati yako huku wote ni nshomile!!!!(Maanake rongorongo)Najua wengi mtani suu ila ukweli utabaki palepale!!Kama nimewakwaza wana jamvi nipo nyuma yenu!kwa kila kitu sichochote silolote!Habari mimi ni msichana.nina miaka 23 ni mweupe. Urefu nina cm 168.mnene kiasi nina uzito kg72 natafuta mpenz wa muda(mkataba) najua weng mtashangaa kwanini mapenz kwa mkataba. in short ni kwamba nilikua single for 7yrs baada ya kuumizwa na niliyekua naye katika kipindi kifup sana. nikachukia sana wanaume so naogopa kuumiza mkaka wa wa2 kama nitakua pado sijapona majeraha ya mwanzo. ila i promise kama 2taelewana 2naweza ongeza au kuondoa kabisa mkataba.ninaomba kwa wale 2 walio serious ndo wani PM. PIA Wawe na uhakika wakutoniumiza tena. Vigezo.: awe na mapenz ya kwel inatosha. Sichagui rangi, dini, umri, wala elimu. One who isUnder ma age no plz!!!
habari mimi ni msichana.nina miaka 23 ni mweupe. Urefu nina cm 168.mnene kiasi nina uzito kg72 natafuta mpenz wa muda(mkataba) najua weng mtashangaa kwanini mapenz kwa mkataba. In short ni kwamba nilikua single for 7yrs baada ya kuumizwa na niliyekua naye katika kipindi kifup sana. Nikachukia sana wanaume so naogopa kuumiza mkaka wa wa2 kama nitakua pado sijapona majeraha ya mwanzo. Ila i promise kama 2taelewana 2naweza ongeza au kuondoa kabisa mkataba.ninaomba kwa wale 2 walio serious ndo wani pm. Pia wawe na uhakika wakutoniumiza tena. Vigezo.: awe na mapenz ya kwel inatosha. Sichagui rangi, dini, umri, wala elimu. One who isunder ma age no plz!!!
Sema akichakachuliwa akwambie!!Huku JF hakuna kupata!!Kila la heri. Ukipata uniambie.
mi nina vigezo vyote. miaka more than 30 under 35. i'm single too.
acha kujipendekeza bw mdogo wankuaga maboflo hao wanaliwami nina vigezo vyote. Miaka more than 30 under 35. I'm single too.
Sema akichakachuliwa akwambie!!Huku JF hakuna kupata!!
Nimekupenda ghafla tatizo hiyo weight yako 72kg, wakati mimi nina 65kg. Wasiwasi wangu ni yakianza malavi davi ya kidhungu ya kubebana sijui ntaweza kukubeba !!?
kweli dada are you serious? Mh kuna wakati wa mzaha na wa ukweli okey jokes hata kwenye haya ya msingi ?nashukuru sana kwa ushauri wenu mzuri nimeshapata jibu kumbe nilikua napoteaeeee! Kumbe ndo mana pm kibao mpaka nyingine nashindwa kusoma kisa "mkataba" oohoho.... Asanteni kwa kunifumbua macho sasa nimeahirisha. Halafu: Pm zinatosha sihitaji zaidi tena