Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo;
1. Awe mkristu mwenye hofu ya MUNGU.
2. Umri usiozidi miaka 25.
3. Mweupe, mwenye umbo la wastani (average), mrefu wastani
4. Elimu kuanzia form 6 na kuendelea
5. Mwenye msimamo katika maamuzi
6. Awe mfanyakazi wa kuajiriwa au kujiajiri
Wasifu wangu
Ninamiaka 29,
Nimfanyakazi wa serikari,
Nmrefu wa wastani,umbo langu ni average
Kwa yeyote atakaye kuwa tayari ani PM.
Niko serious sana.
Mungu akubariki.
1. Awe mkristu mwenye hofu ya MUNGU.
2. Umri usiozidi miaka 25.
3. Mweupe, mwenye umbo la wastani (average), mrefu wastani
4. Elimu kuanzia form 6 na kuendelea
5. Mwenye msimamo katika maamuzi
6. Awe mfanyakazi wa kuajiriwa au kujiajiri
Wasifu wangu
Ninamiaka 29,
Nimfanyakazi wa serikari,
Nmrefu wa wastani,umbo langu ni average
Kwa yeyote atakaye kuwa tayari ani PM.
Niko serious sana.
Mungu akubariki.