brazilian
JF-Expert Member
- Feb 10, 2012
- 604
- 112
Incubator kama umeme ukikatika sio tatizo kwani joto aliishi hapo hapo umeme ukikatika,mimi wakati nnaishi kijijini nilikua nnaonaga kuku wanaolalia mayai wanatokaga kwenda kupiga story na mashost zao au kwenda kutafuta msosi wakiyaacha mayai kwa zaidi ya lisaa lakini mwisho wa siku vifaranga vinatotolewa!Je akuna mwana JF aliyewai ona haya?
Una maneno wewe!!!!!!!!