nahitaji mashine ya kutotoresha mayai na chakula cha kuku

Incubator kama umeme ukikatika sio tatizo kwani joto aliishi hapo hapo umeme ukikatika,mimi wakati nnaishi kijijini nilikua nnaonaga kuku wanaolalia mayai wanatokaga kwenda kupiga story na mashost zao au kwenda kutafuta msosi wakiyaacha mayai kwa zaidi ya lisaa lakini mwisho wa siku vifaranga vinatotolewa!Je akuna mwana JF aliyewai ona haya?


Una maneno wewe!!!!!!!!
 
habari mdau!
zipo za umeme ni tsh 400,000 zinauwezo wa mayai 60 ni nzuri sana ila tu umemeukikatika hata dk 20 yanakuwa viza................na zamafuta ya taa ndo nzuri zaidi kwa sisi watz hizi tsh 500,000 na zina uwezo wa mayai 60 hadi 600,ni nzuri sana ...,mimi natumia hii na ninasupply vifarnga na kuku wa kienyeji!
nitafte via 0655444413 au kabanda2012@gmail.com
 
ha ha ha ha ha ha!!kweli kiongozi,na kama issue ni joto unaweza kuiweka kwenye jiko la mkaa pia!!!

Hahahahaaaaaaa, kwenye jiko la mkaa si yataiva sasa? hapo itabidi uyale yote!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Umeme huu unavyokatika utajikuta na kifaranga kimoja tu hai. Wewe nunua vifaranga.
 
Back
Top Bottom