mkuu kwa hiyo unataka kuniambia makampuni kama sony, panasonic, hitachi, google hayana logo?? Kisa yameandika tu maandishi au wewe unajua logo uone symbol ndio unaiita logo??mkuu usipoteze muda wako kutafuta madesigner wa kuchora papa na nguru... No offence lakini sikushauri uwasiliane na hao ibang hapo juu... (siwajui hawanijui) na wala siko hapa kumuharibia mtu biashara yake, naongea professionally... Nimevisit website yao, ni pure copy and paste ya templete ambayo nilishawahi kuifanyia modifications miaka minne iliyopita wakati najifunza neating codes...
hawa jamaa logo wao wenyewe hawana (wameweka text ndani ya duara la blue)... Wakuu hebu fungueni link yao hapo juu muone...page zao zote zinafanana, pembeni kuna testimonial chini, mission/vision juu... Come on guys... Hebu umizeni vichwa kabla hamjaanza kuwaza pesa... And this is what i said in my previous posts kwenye thread ya biashara ya webdesigning and development...
Kuna mambo mengi sana watanzania tunayakurupukia na kujifanya tunayajua kiasi cha kujiita experts, lakini ukweli ni kwamba hatujui na wavivu wa kufanya kazi kwa bidii (baadhi yetu)... Inakera sana kuona watu wanatumia templates for business use... Au kwakuwa wazee wa copy right hawatuangalii huku africa???
Well, back to the logo design... Nakushauri uwasiliane na homepage : Spearhead branding huyu jamaa ni proper expert na kazi zake zipo kwenye website yake hapo juu... Ila nikutanabahishe tu... He is not cheap...
Kumbuka a logo is your representation of your company... It should be done right... Hizi logo za laki mbili au elf 50 ni so cheap kwa taswira ya kampuni...kumbuka you are buying art na hata siku moja any artistic work is never cheap...
Kama utahitaji designers kutoka nje ya tz, ingia 99designs | logo design, web design and more. Design done differently. au search google... Kwa bahati mbaya brabdstack imefungwa, ningekulink na proper designers...
Nb: Wakuu wa ibang, take this as a positive criticism... Msione nimekupeperushieni mteja, by the way, its up to him to work with whoevr he/she likes...i just had to get this crap out of my chest...
Mimi ni designer pia, ila sina muda kwa sasa so i'm out.
Kama unataka inspiration kwenye logo designs, tembelea logoholik - logo and corporate identity creation uone kazi za ukweli hapo...
Sasa kama vipi ........ni PM nipe kazi ya kampuni na details nyingine muhimu then ntakupa quatation, halafu siku nyingine tuma kule jukwaa letu la Technology.Wakuu nahitaji logo ya kampuni .
Naomba wenye ujuzi huu wanipe quatation;
thanks
Mkuu usipoteze muda wako kutafuta Madesigner wa kuchora papa na nguru... No offence lakini sikushauri uwasiliane na hao Ibang hapo juu... (Siwajui hawanijui) na wala siko hapa kumuharibia mtu biashara yake, naongea professionally... Nimevisit Website yao, ni pure copy and paste ya templete ambayo nilishawahi kuifanyia modifications miaka minne iliyopita wakati najifunza neating codes...
Hawa jamaa logo wao wenyewe hawana (wameweka text ndani ya duara la blue)... Wakuu hebu fungueni link yao hapo juu muone...page zao zote zinafanana, pembeni kuna testimonial chini, mission/vision juu... Come on guys... Hebu umizeni vichwa kabla hamjaanza kuwaza pesa... And this Is what I said in my previous posts kwenye thread ya biashara ya webdesigning and development...
Kuna mambo mengi sana watanzania tunayakurupukia na kujifanya tunayajua kiasi cha kujiita experts, lakini ukweli ni kwamba hatujui na wavivu wa kufanya kazi kwa bidii (baadhi yetu)... Inakera sana kuona watu wanatumia templates for business use... Au kwakuwa wazee wa copy right hawatuangalii huku africa???
Well, back to the logo design... Nakushauri uwasiliane na Homepage : Spearhead Branding huyu jamaa ni proper expert na kazi zake zipo kwenye website yake hapo juu... Ila nikutanabahishe tu... He is not cheap...
Kumbuka a logo is your representation of your company... It should be done right... Hizi logo za laki mbili au elf 50 ni so cheap kwa taswira ya kampuni...kumbuka you are buying ART na hata siku moja any artistic work is never cheap...
Kama utahitaji designers kutoka nje ya tz, ingia 99designs | Logo Design, Web Design and More. Design Done Differently. au search google... Kwa bahati mbaya brabdstack imefungwa, ningekulink na proper designers...
NB: wakuu wa ibang, take this as a positive criticism... Msione nimekupeperushieni mteja, by the way, its up to him to work with whoevr he/she likes...I just had to get this crap out of my chest...
Mimi ni Designer pia, ila sina muda kwa sasa so I'm out.
Kama unataka inspiration kwenye logo designs, tembelea Logoholik - Logo and Corporate Identity Creation uone kazi za ukweli hapo...
mkuu kwa hiyo unataka kuniambia makampuni kama sony, panasonic, hitachi, google hayana logo?? Kisa yameandika tu maandishi au wewe unajua logo uone symbol ndio unaiita logo??
mkuu kwa hiyo unataka kuniambia makampuni kama sony, panasonic, hitachi, google hayana logo?? Kisa yameandika tu maandishi au wewe unajua logo uone symbol ndio unaiita logo??
Wakati napost nilitaka nikupe mifano ya logo hizo ambazo ni brand names kama sony, samsung microsoft, dell, hp, toshiba nk...(Hizi si logo par se) kama alivyoeleza mkuu hapo juu, a logo is not a brand name, but it can be part of it...
Katika sanaa ya uandishi kuna kitu kinaitwa font design and development... Makampuni tajwa hapo juu yamelipa hela nyingi sana tena sana kwa watu wanaotengeneza font ili za kwao ziwe tofauti kabisa na font yeyote ile, wanaporepresent their brands, ndio maana zinastand kama taswira mama ya kampuni zao... Hautokuja kuona kampuni yeyote kubwa inatumia arial, verdana, comic sans, calibri etc kama fornt watakayoandika just a simple text ili iwe brand name yao....pitia hapa utaelewa What's The Difference Between A Logo & A Brand? | Lea Woodward, Find Your Flow
Hii ni elimu nyingine mkuu inapaswa iresearch, sasa kama mtu unataka logo yako iwe simple and neat in a text format, jiandae kutafuta type designers wakutengenezee font yako uitumie kama logo in an artistic way, na utahitaji consultants wa maana kukupa ushauri...
Lakini kikwetu afrika, tunaenda tu ile bora liende... Professionalism ni muhimu sana kwenye hii sekta inayokua haraka na kwa kasi kubwa...hebu angalia logo ya Jamii Forums utoe japo credits kidogo...it stands very well na ina coordinate visually na what's in the forums...kama unataka kufahamu zaidi ingia Font Squirrel | Handpicked free fonts for graphic designers with commercial-use licenses. uone tofauti ya font za bure na za kuuzwa... Soma na makala mbali mbali za madeveloper online using google search...
Nb: by the way, google's logo sio just text mkuu, ile ni art, jinsi rangi zilivyochanganywa pale ni heshima kubwa sana kwa aliyehusika na kazi...also, google wana logo yao yenye letter g ndani ya box na imezungukwa na rangi zao...
Nb2: colours in your logo should be your house colours, yaani rangi utakazokuwa unatumia kikampuni, from ur office, documentation, letters, b.cards etc, sio una logo ya blue, halaf website yako nyekundu, letter heads zako kijani, business card pink...angalia sites kama littlewoods.com, asda, tesco, jpmorgan, vividiti, themeforest etc... Zitakupa mwangaza.
Wakati napost nilitaka nikupe mifano ya logo hizo ambazo ni brand names kama sony, samsung microsoft, dell, hp, toshiba nk...(Hizi si logo par se) kama alivyoeleza mkuu hapo juu, a logo is not a brand name, but it can be part of it...
Katika sanaa ya uandishi kuna kitu kinaitwa font design and development... Makampuni tajwa hapo juu yamelipa hela nyingi sana tena sana kwa watu wanaotengeneza font ili za kwao ziwe tofauti kabisa na font yeyote ile, wanaporepresent their brands, ndio maana zinastand kama taswira mama ya kampuni zao... Hautokuja kuona kampuni yeyote kubwa inatumia arial, verdana, comic sans, calibri etc kama fornt watakayoandika just a simple text ili iwe brand name yao....pitia hapa utaelewa What's The Difference Between A Logo & A Brand? | Lea Woodward, Find Your Flow
Hii ni elimu nyingine mkuu inapaswa iresearch, sasa kama mtu unataka logo yako iwe simple and neat in a text format, jiandae kutafuta type designers wakutengenezee font yako uitumie kama logo in an artistic way, na utahitaji consultants wa maana kukupa ushauri...
Lakini kikwetu afrika, tunaenda tu ile bora liende... Professionalism ni muhimu sana kwenye hii sekta inayokua haraka na kwa kasi kubwa...hebu angalia logo ya Jamii Forums utoe japo credits kidogo...it stands very well na ina coordinate visually na what's in the forums...kama unataka kufahamu zaidi ingia Font Squirrel | Handpicked free fonts for graphic designers with commercial-use licenses. uone tofauti ya font za bure na za kuuzwa... Soma na makala mbali mbali za madeveloper online using google search...
Nb: by the way, google's logo sio just text mkuu, ile ni art, jinsi rangi zilivyochanganywa pale ni heshima kubwa sana kwa aliyehusika na kazi...also, google wana logo yao yenye letter g ndani ya box na imezungukwa na rangi zao...
Nb2: colours in your logo should be your house colours, yaani rangi utakazokuwa unatumia kikampuni, from ur office, documentation, letters, b.cards etc, sio una logo ya blue, halaf website yako nyekundu, letter heads zako kijani, business card
pink...angalia sites kama littlewoods.com, asda, tesco, jpmorgan, vividiti, themeforest etc... Zitakupa mwangaza.
Mkuu Doltyne,
Katika post zako kwenye thread hii nakubaliana na wewe kwa point ulizotoa. Hapa bongo kitu kinachoitwa professionalism bado sana. Watu wengi wanaingia katika fani kwa lengo la kutafuta kitu cha kuweka tumboni, na sio kutoa ujuzi katika eneo husika. Kwa kifupi, katika utendaji kazi bado kuna blah blah nyingi na watu wetu wanaaojiita "wataalam" wengi hawajui kwa kina kuhusu fani zao.
Nazungumza kama mtu ambaye nafanya logo design na website development, so nina uzoefu mzuri katika hili. Jambo moja ambalo ningependa kulizungumzia, ambalo umeligusiia katika post zako, ni palle ulipozungumzia matumizi ya template. Kwa mara kadhaa mimi pia nimeshawahi kutumia template katika baadhi ya kazi za wateja - lakini hata wateja wenyewe walikua na ufaham kwamba website yao ilikua ni customized template.
Wakati mwingine si tatizo kutumia template, ila ni kwa nini unatumia template hapo ndipo kunamtofautisha professional and non-professional designer.
Mwamko wa website na logo development, au kwa ujumla corporate branding hapa bongo ni mdogo sana, na watanzania wengi (wateja) hawaoni umuhimu wa kutafuta professional consultation kwenye eneo hili. Hili linaweza kuchangiwa na mambo mengi ikiwa ni uelewa mdogo wa elimu ya biashara na marketing na sababu nyingine nyingi za msingi ambazo nisingependa kuzizungumzia kwa kiundani kwa sasa.
Hivyo basi utakutana na wateja wengi wanaopenda kazi zenye "professional grade" lakini wana budget ndogo sana. Kwa mfano, mteja anataka website ambayo budget yake roughly ni USD 2,500, lakini yeye ana USD 500. Katika mazingira kama haya, ili mteja apate anachokitaka bila wewe kuumia, unaweza kumshauri ku customize template ambayo inarandana kwa ukaribu na kitu anachohitaji. Vinginevyo ni vigumu kufanya kazi kwa budget hiyo alafu uumple professional output.
Cha msingi, kutumia template haimaanishi kutokuwa professional. Unaweza kutumia template kama inalazimu, au ni njia nzuri zaidi baada ya kufikia makubaliano kati yako na mteja.
Mwisho kabisa isingependa kulalumu upande mmoja bila kuangalia matatizo katika upande mwingine. Kufikia hadhi ya kuwa professional sio kazi ndogo. Inahitaji dedication, time na gharama za kifedha pia - kama kununua vitabu, kwenda shule na kadhalika. Kuwa "professional" ni investment na hakuna mtu ambaye yupo tayari ku invest kwenye biashara isiyokuwa na soko, au yenye soko dogo lisilovutia.
Kutokuwa na "market" au kwa lugha nyingine "kutokuwa wateja wa kutosha (hapa nazungumzia makampuni ya kati) ambao wanahitaji professional consultancy)" inachangia kutokuwa na professionals kwenye fani mbalimbali hapa TZ, na sio kwenye website development au corporate branding peke yake, bali hata kwenye software development and upande mwingine wa ICT. Hata kwenye movie production, tatizo ni hili hili.
Ni watu wangapi wapo tayari kununua muvy yenye hadhi kwa TZS 30,000+? Je, soko la muvy lipo la kutosha?
Ni watanzania wangapi nawaotazama "quality" na sio "price"? Watanzania wengi tupo tayari kuchukua kazi/kitu cha bei rahisi hata kama hakina quality, na hili linachangia sana kukosa watu ambao unaweza kuwaita "professionals" kwenye fani zao ambao wataangalia sana kutoa quality output na sio low price na blah blah nyingi.
Watanzania wenye uwezo wapo wengi, ila hali halisi ya mazingira kwa namna fulani inachangia kupoteza vipaji vingi hapa nyumbani.
Ram
Mbaya zaidi sisi watanzania pia tuna mtindo wa kudharau kazi za watanzania wenzetu!! hata zikiwa proffesionnal vipi! mtu akitajiwa bei ya kutengeneza logo atasema jamaa wezi wanataka pesa nyingi!! lakini mtu huyo huyo atalipa double eti kwa sababu kuna mzungu katoka #&"*#*# katengeneza!! Tutafika kweli!?!?!