AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Habari wan JF! Natafuta laptop used ambayo sio mbovu mbovu, nina 400000, nipo moro mjini so kwa anayeuza ani-pm 2fanye biashara, NIPO SERIOUS NA NAOMBA HIYO ISIWE MBOVU, na kama tatizo ni betri naomba uhailishe. tanx ol.