Nahitaji kutumia iPhone kama modem

Mkuu nilikutumia e-mail,je uliipata????
mkuu Internet Tethering imewezeshwa kuanzia IOS Version 4 na kuendelea hivyo unatakiwa uUpgrade firmware ya simu yako to IOS 4+, pia ni muhimu kuJailbreak ili uweze kuweka MyWi 4.0 kama mkuu alivyofanikiwa hapo juu...kuna Tutorial za namna ya kujailbreak kwenye google, ila ungekuwa umeniandikia ni Iphone gani unatumia kati ya Iphone 2G, Iphone 3G, Iphone 3GS na Iphone 4 ningekutaftia jailbreak ya ios unayotakiwa kuweka,,,,
<br />
<br />
 
Munisaidie wajameni....!!!nimekwama
mkuu angalia kwenye Camera ya simu kama kuna tab ya kuSwitch from still mode to video mode kama kwenye picha hapo...

img0410.png


kama ipo basi iphone yako ni 3GS au 4,,Iphone 3G huwa hazina ila unaweza kuongeza application ya camera yenye video. vile vile ukichomeka simu kwenye computer, itunes itakwambia imedetect latest update ya firmware, ikiandika firmware 4.2.1 ndio latest kwa simu yako basi ujue hiyo ni 3G, na ikiandika firmware 4.3.5 basi hiyo ni Iphone 3GS au Iphone 4, nadhani Iphone 4 unaifahamu lakini kwa appearance..!

pia nadhani itakuwa ni 3G kwasababu ya model MB489B ipo kwenye list ya Iphone 3G. hivyo unatakiwa kuJailbreak kwa kutumia firmware 4.2.1 ili upate Internet Tethering na MyWi..hakikisha kwanza alafu tujibu hapa upewe link ya Tutorial za kuJailbreak..
 
mkuu angalia kwenye Camera ya simu kama kuna tab ya kuSwitch from still mode to video mode kama kwenye picha hapo...<br />
<br />
<img src="http://img824.imageshack.us/img824/6639/img0410.png" border="0" alt="" /> <br />
<br />
kama ipo basi iphone yako ni <b>3GS</b> au <b>4</b>,,Iphone <b>3G </b>huwa hazina ila unaweza kuongeza application ya camera yenye video. vile vile ukichomeka simu kwenye computer, itunes itakwambia imedetect latest update ya firmware, ikiandika firmware 4.2.1 ndio latest kwa simu yako basi ujue hiyo ni 3G, na ikiandika firmware 4.3.5 basi hiyo ni Iphone 3GS au Iphone 4, nadhani Iphone 4 unaifahamu lakini kwa appearance..!<br />
<br />
pia nadhani itakuwa ni 3G kwasababu ya <b>model MB489B </b>ipo kwenye list ya Iphone 3G. hivyo unatakiwa kuJailbreak kwa kutumia firmware 4.2.1 ili upate Internet Tethering na MyWi..hakikisha kwanza alafu tujibu hapa upewe link ya Tutorial za kuJailbreak..
<br />
<br />
Mkuu samahani nimechelewa kujibu,sasa nimeitambua kuwa ni 3G.Pia jana kwenye itunes nimepakuwa kitu kinaitwa SAFARI,nimesha instal kwenye laptop yangu,je yaweza kunisaidia????
 
mkuu Internet Tethering imewezeshwa kuanzia IOS Version 4 na kuendelea hivyo unatakiwa uUpgrade firmware ya simu yako to IOS 4+, pia ni muhimu kuJailbreak ili uweze kuweka MyWi 4.0 kama mkuu alivyofanikiwa hapo juu...kuna Tutorial za namna ya kujailbreak kwenye google, ila ungekuwa umeniandikia ni Iphone gani unatumia kati ya Iphone 2G, Iphone 3G, Iphone 3GS na Iphone 4 ningekutaftia jailbreak ya ios unayotakiwa kuweka,,,,
<br />
<br />
Mkuu iPhone yangu ni 3G,tafadhali nisaidie
 
<br />
<br />
Mkuu iPhone yangu ni 3G,tafadhali nisaidie
Mjema kaka fanya hivi, fungua settings, general, network, (personal hotspot au internet tethering) switch personal hotspot ON. kama hizi option hazipo kwenye simu yako basi itabidi uJailbreak..

img0420l.png
img0421.png
 
Mjema kaka fanya hivi, fungua <b>settings</b>, <b>general</b>,<b> network</b>, (<b>personal hotspot </b>au <b>internet tethering</b>) switch personal hotspot<b> ON.</b> kama hizi option hazipo kwenye simu yako basi itabidi uJailbreak..<br />
<br />
<img src="http://img59.imageshack.us/img59/3545/img0420l.png" border="0" alt="" /> <img src="http://img84.imageshack.us/img84/2601/img0421.png" border="0" alt="" />
<br />
<br />
Mkuu hiyo option haipo.Katika kuhangaika,nilijaribu ku-download app fulani nikaambiwa version yangu haikubali,hivyo nipakue iOS,hivyo nikaenda google nikakuta ios 4.3 ambayo kwa sasa ninaipakuwa(download),imeniandkia hivi;(iPhone2,1_4.3_8F190_Restore.ipsw)sasa je niendelee au ni jailbreak?????na je nilazima simu niiunganishe kwenye PC.kama upo hewani kaka naomba nisaidie.
 
<br />
<br />
Mkuu hiyo option haipo.Katika kuhangaika,nilijaribu ku-download app fulani nikaambiwa version yangu haikubali,hivyo nipakue iOS,hivyo nikaenda google nikakuta ios 4.3 ambayo kwa sasa ninaipakuwa(download),imeniandkia hivi;(iPhone2,1_4.3_8F190_Restore.ipsw)sasa je niendelee au ni jailbreak?????na je nilazima simu niiunganishe kwenye PC.kama upo hewani kaka naomba nisaidie.
okay hapo unaelekea njia nzuri, ila usiidownload hiyo 4.3 maana sio ya 3G,, hii hapa link ya ios 4.2.1 ambayo ndio latest firmware ya iphone 3G.. ( http://appldnld.apple.com/iPhone4/061-9853.20101122.Vfgt5/iPhone1,2_4.2.1_8C148_Restore.ipsw ) hiyo alafu jailbreak ukifuatilia haya maelekezo kwenye hii link..HOW TO: Use Sn0wbreeze To Untethered Jailbreak iOS 4.2.1 [video] | FSMdotCOM,,fuatilia instructions vizuri, ukishaJailbreak utatakiwa kuUnlock , ntakulekeza ukishafika hii stage..
 
Nashukuru sana Mkuu,nitakujulisha
okay hapo unaelekea njia nzuri, ila usiidownload hiyo 4.3 maana sio ya 3G,, hii hapa link ya ios 4.2.1 ambayo ndio latest firmware ya iphone 3G.. <a href="http://appldnld.apple.com/iPhone4/061-9853.20101122.Vfgt5/iPhone1,2_4.2.1_8C148_Restore.ipsw..download" target="_blank">http://appldnld.apple.com/iPhone4/061-9853.20101122.Vfgt5/iPhone1,2_4.2.1_8C148_Restore.ipsw..download</a> hiyo alafu jailbreak ukifuatilia haya maelekezo kwenye hii link..<a href="http://www.funkyspacemonkey.com/sn0wbreeze-untethered-jailbreak-ios-421-video" target="_blank">HOW TO: Use Sn0wbreeze To Untethered Jailbreak iOS 4.2.1 [video] | FSMdotCOM</a>,,fuatilia instructions vizuri, ukishaJailbreak utatakiwa kuUnlock , ntakulekeza ukishafika hii stage..
<br />
<br />
 
okay hapo unaelekea njia nzuri, ila usiidownload hiyo 4.3 maana sio ya 3G,, hii hapa link ya ios 4.2.1 ambayo ndio latest firmware ya iphone 3G.. ( <a href="http://appldnld.apple.com/iPhone4/061-9853.20101122.Vfgt5/iPhone1,2_4.2.1_8C148_Restore.ipsw" target="_blank">http://appldnld.apple.com/iPhone4/061-9853.20101122.Vfgt5/iPhone1,2_4.2.1_8C148_Restore.ipsw</a> ) hiyo alafu jailbreak ukifuatilia haya maelekezo kwenye hii link..<a href="http://www.funkyspacemonkey.com/sn0wbreeze-untethered-jailbreak-ios-421-video" target="_blank">HOW TO: Use Sn0wbreeze To Untethered Jailbreak iOS 4.2.1 [video] | FSMdotCOM</a>,,fuatilia instructions vizuri, ukishaJailbreak utatakiwa kuUnlock , ntakulekeza ukishafika hii stage..
<br />
<br />Mkuu,niligundua kuwa software yangu ya itunes ilikuwa out of date,hivyo okanielekeza namna ya ku update hadi nikafanikiwa,hatua iliyofuata ni kudownload version ya ios 4.2 ambayo itunes wenyewe walinielekeza baada ya ku conect simu kwenye PC,nikaanza ku download,tatizo likaja kuwa network ikikata tu,kazi inaanza upya,hasa ukizingatia kuwa inachua muda mrefu sana,mwanzoni nilikaa masaa nane,ikawa imepakuwa 80mb,kisha network ikakata,nikaanza upya,ilipofika 45mb network tena ikakata na mara ya tatu hivyohivyo,je hakuna njia nyingine mbadala????natumia modem ya airtel,huwa nanunua kifurushi cha sh2500 na kupata 400mb
 
<br />
<br />Mkuu,niligundua kuwa software yangu ya itunes ilikuwa out of date,hivyo okanielekeza namna ya ku update hadi nikafanikiwa,hatua iliyofuata ni kudownload version ya ios 4.2 ambayo itunes wenyewe walinielekeza baada ya ku conect simu kwenye PC,nikaanza ku download,tatizo likaja kuwa network ikikata tu,kazi inaanza upya,hasa ukizingatia kuwa inachua muda mrefu sana,mwanzoni nilikaa masaa nane,ikawa imepakuwa 80mb,kisha network ikakata,nikaanza upya,ilipofika 45mb network tena ikakata na mara ya tatu hivyohivyo,je hakuna njia nyingine mbadala????natumia modem ya airtel,huwa nanunua kifurushi cha sh2500 na kupata 400mb
usiDownload kupitia Itunes huwa inachukua mda mwingi sana na maranyingi inaFail kabla haijamaliza, download kupitia hii link http://appldnld.apple.com/iPhone4/061-9853.20101122.Vfgt5/iPhone1,2_4.2.1_8C148_Restore.ipsw Save hiyo file sehemu yoyote kwenye computer, weka Bundle ingine alafu download haitachukua hata lisaa limoja kwenye network ya 3G,,
 
Nashukuru sana Mkuu,nimeanza kazi,nitakujulisha matokeo.Japo mtandao hapa ni. Wa EDGE
usiDownload kupitia Itunes huwa inachukua mda mwingi sana na maranyingi inaFail kabla haijamaliza, download kupitia hii link <a href="http://appldnld.apple.com/iPhone4/061-9853.20101122.Vfgt5/iPhone1,2_4.2.1_8C148_Restore.ipsw" target="_blank">http://appldnld.apple.com/iPhone4/061-9853.20101122.Vfgt5/iPhone1,2_4.2.1_8C148_Restore.ipsw</a> Save hiyo file sehemu yoyote kwenye computer, weka Bundle ingine alafu download haitachukua hata lisaa limoja kwenye network ya 3G,,
<br />
<br />
 
usiDownload kupitia Itunes huwa inachukua mda mwingi sana na maranyingi inaFail kabla haijamaliza, download kupitia hii link http://appldnld.apple.com/iPhone4/061-9853.20101122.Vfgt5/iPhone1,2_4.2.1_8C148_Restore.ipsw Save hiyo file sehemu yoyote kwenye computer, weka Bundle ingine alafu download haitachukua hata lisaa limoja kwenye network ya 3G,,
Mkuu hiyo site uliyoiweka ni hiyo hiyo ya itunes na hiyo file ina ukubwa wa 420mb so hata kama una 3g lazima itachukua more than 1hr so bundle ya mb 400 ni less inatakiwa bundle ya 1gb
 
Mkuu hiyo site uliyoiweka ni hiyo hiyo ya itunes na hiyo file ina ukubwa wa 420mb so hata kama una 3g lazima itachukua more than 1hr so bundle ya mb 400 ni less inatakiwa bundle ya 1gb
Mkuu IOS 4.2.1 ni 322.8MB ndio maana nikamwambia aweke bundle ya 400MB itatosha,,IOS 4.3+ ipsw zake ni 419MB na kuendelea',,,,angalia vizuri usiwe na haraka'..
 
Mkuu <b>IOS 4.2.1 ni<font color="#ff0000"> 322.8MB</font></b> ndio maana nikamwambia aweke bundle ya<b> 400MB</b> itatosha,,<b>IOS 4.3+</b> ipsw zake ni<b> 419MB</b> na kuendelea',,,,angalia vizuri usiwe na haraka'..
<br />
<br />
Ni kweli mkuu.
 
Mkuu IOS 4.2.1 ni 322.8MB ndio maana nikamwambia aweke bundle ya 400MB itatosha,,IOS 4.3+ ipsw zake ni 419MB na kuendelea',,,,angalia vizuri usiwe na haraka'..
Issue inakuja wapi haitakubali kudowngrade IOS 4.2.1 wakati kuna 4.3.1 na wewe unalijua hilo lazima zije some errors na kama mtu sio mtaalam ndio ataharibu kila kitu.
 
Issue inakuja wapi haitakubali kudowngrade IOS 4.2.1 wakati kuna 4.3.1 na wewe unalijua hilo lazima zije some errors na kama mtu sio mtaalam ndio ataharibu kila kitu.
haDowngrade ana UpGrade to 4.2.1, IOS yake ya sasa ni 3.1.2...fuatilia mada vizuri na simu yake ni 3G sio 3GS kwahiyo hiyo 4.3.1 unayosema haipo compatible' :deadhorse: :deadhorse: .....@Mjema utujulishe umefikia wapi'....
 
haDowngrade ana UpGrade to 4.2.1, IOS yake ya sasa ni 3.1.2...fuatilia mada vizuri na simu yake ni 3G sio 3GS kwahiyo hiyo 4.3.1 unayosema haipo compatible' :deadhorse: :deadhorse: .....@Mjema utujulishe umefikia wapi'....
i get u.
 
haDowngrade ana UpGrade to 4.2.1, IOS yake ya sasa ni 3.1.2...fuatilia mada vizuri na simu yake ni 3G sio 3GS kwahiyo hiyo 4.3.1 unayosema haipo compatible' <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/deadhorse.gif" border="0" alt="" title="Deadhorse" smilieid="162" class="inlineimg" /> <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/deadhorse.gif" border="0" alt="" title="Deadhorse" smilieid="162" class="inlineimg" /> .....@Mjema utujulishe umefikia wapi'....
<br />
<br />
Mkuu,network ya EDGE inasumbua sana,kwanza inachukuwa muda mrefu sana,hivyo nimeamua nitenge muda kwenda Mwenge ambapo kuna network ya 3G mana nipo Bwagamoyo.nashukuru sana Kwa msaada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom