ofisini tumenunua hiyo kaspesky lakini daily inakwambia upadate na hata computer inakuwa nzito kuperfom. Ok, labda setting, nitakucheck
Huna haja ya kununua AV kwa matumizi ya nyumbani! Download avira antivir personal au Avast. Nimetumia zote na sijawahi hata siku moja kushambuliwa na virusi.ofisini tumenunua hiyo kaspesky lakini daily inakwambia upadate na hata computer inakuwa nzito kuperfom. Ok, labda setting, nitakucheck
aaah, kumbe. nashukuru
duh! JF kwa wizi ni kiboko! Yaani just a PM?????
polisi..
theory ya antivirus ni kuwa ili iwe efficient na new threats lazima iwe updated mara kwa mara,isikutishe hio msg kwani unaweza cui-customize iwe inaupdate automatically every time unapoconnect na internet.
kuhusu uzito wa kuperform labda kama ni advaced features zimekuwa enabled wakati hazihitajiki au ni version ya zamani..hizi za 2009,2010 na 2011 ni poa tu
Wakuu, habari
Kuna anti-virus inaitwa Quick Heal nimeipenda sana. nilidowload ile ya majaribio sasa nataka ninunue. nisaideni jinsi ya kuipata. nataka kwa ajili ya matumizi binafsi siyo ya ofisi
Mkuu jamaa sio mwizi ila naona hata mimi ame ni save pia.....maana nilim PM na amenidondoshea kila kitu na nimeweka kwenye laptop yangu na inafanya kazi vizuri kabisa......ina mda mwingi pia wa kue expire.......si unajuwa tena sio kila mtu anataka kumwaga kila kitu hadharani??Kwa hiyo nampa big up kwa msaada wake na moyo wake...........
mmmmhhhh
ina elekea unajua sana mambo yako dear..
lakini kuondoa haya matatizo yote
si ununue tu apple brand
shida iishe..
Amekusave sawa lakini hata mafisadi wanatoa misaada, sasa kwa nini tunalalama?Mkuu jamaa sio mwizi ila naona hata mimi ame ni save pia.....maana nilim PM na amenidondoshea kila kitu na nimeweka kwenye laptop yangu na inafanya kazi vizuri kabisa......ina mda mwingi pia wa kue expire.......si unajuwa tena sio kila mtu anataka kumwaga kila kitu hadharani??Kwa hiyo nampa big up kwa msaada wake na moyo wake...........
hata mimi naona hivo kars ni bora