Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
ila
ila huna mapenzi ya dhati hali unatafuta mwenye mapenzi ya dhati…mmmh!Sifa za mwanaume:
-Awe mkristo
Umri kuanzia 29-35
Awe na kipato chake
Mwenye mapenzi ya dhati
Sifa zangu
Mimi ni mkristo
Nina miaka 27
Rangi yangu ni black(beauty)
Nimeajiriwa serikalini.
Karibuni