roselyne1
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 1,365
- 93
Ni poa tu kuuliza, coz anatuchanganya. Kamili yuko kimya si coz kazimwa na ubunge wa viti maalumu! unajua JF mtu akizungumzia watu manowaamini mnakuwa defensive sana, ndio ni kiongozi wangu nilimpigia kura lakini currently anazini, hili la kusema wangapi wana ndoa safi kwanini awe kati ya wachafu, he is unique individual n kwenye suala la familia inayoeleweka ingemuongezea credit for sure. Angalia Obama na familia yake anaheshika zaidi apart from his intelligency pia the way anahandle domestic issues coz asikudanganganye mtu familia ikitulia inampa utulivu muhusika na anakuwa more productive, so atuambie anazini now if yes lini ataishi maisha safi, angalau kwenye face ya jamii tu wether anajichanganya huko pembeni kivyake bt at least in da face
nani kakuambia utulivu unaupata kwa 'first wife' pekee yake??..obvously hakuupata ndio akaamua kuutafuta kwa mara nyingine...
binadamu huwa tunasearch mpaka pale tunapopataka,sometimes watu wanarush kny marriage wakija shtuka ni majuto!kama yeye aliweza kujinasua then he was really courageous !wengi wamebaki kny huo mtego wakisingizia watoto,mazoea etc
na kisha kama unaona huyo mkewe 'halalamiki' means walishindwana na yeye anajua it is for the best,walivyoachana....!