Nahitaji kufahamishwa!

Dan84

Member
Apr 3, 2012
49
24
Wadau wa soka, kwa mujibu wa uelewa wangu, natambua tofauti ya nyuzi za longitudo 15 ni sawa na saa 1. Uingereza (nyuzi 0), tz (nyuzi 45 masharik) tofauti, inakuwa masaa ma3, kwa hiyo unategemea uingereza ikiwa sa 9, tz tunaangalia game sa 12, lakin kuna vipindi badala ya sa 12, huku tunaangalia sa 11 jion, nifahamishwe tafadhali? (samahan mpangilio mbovu, nimetumia simu, wenye maarifa ya jiografia, mnakaribishwa)
 
Nijuavyo mimi kuna muda wanatumia GMT ambayo ni tofauti ya masaa matatu na sisi na mara nyingine wanatumia CET ambayo ni tofauti ya masaa mawili, sasa ni lini wanatumia GMT na lini wanatumia CET hapo nami naomba kufahamishwa.
 
Asante mdau, shukrani!, haya, wanaojua lini CET na GMT, inatumika watiririke, karibuni bandugu!
 
Nadhani mabadiliko yanatokea kufuatana na mabadiliko ya hali ya hewa, kipindi cha summer na winter.
 
Asante katavi!, wana-jiografia mwagikeni, mtupe confirmation.
 
Back
Top Bottom