Nahitaji kuconnect modem yangu via linux

dfreym

JF-Expert Member
Oct 14, 2010
342
87
Wana jamvi naomba msaada wenu, nahitaji kutumia modem yangu ya tigo (zile za zamani) au voda zte k3571 katika kuunganisha internet ili niitumie kwenye linux, nifanyeje, nisaidieni,
 
Wana jamvi naomba msaada wenu, nahitaji kutumia modem yangu ya tigo (zile za zamani) au voda zte k3571 katika kuunganisha internet ili niitumie kwenye linux, nifanyeje, nisaidieni,
Mkuu kusema tu linux haitoshi
hebu jaribu kuwa more specific ni os gani ya linux unatumia usaidiwe
 
Linux na ubuntu, unaweka modem tu, then inaconnect. Hamna haja ya uingiza program kama kwenye window na mac. Ni easy kwenye linux na ubuntu.
 
Linux na ubuntu, unaweka modem tu, then inaconnect. Hamna haja ya uingiza program kama kwenye window na mac. Ni easy kwenye linux na ubuntu.

Msheshimiwa ningependa kukupinga kwa ilo......kama ni mtumiaji wa ubuntu version chini ya 11.04 lazima utakutana na hii shida....huwa hazi detect modems unless u download n install wvdial...
 
Msheshimiwa ningependa kukupinga kwa ilo......kama ni mtumiaji wa ubuntu version chini ya 11.04 lazima utakutana na hii shida....huwa hazi detect modems unless u download n install wvdial...

ni kweli ndugu yangu, ila nakushauri utumie ubuntu 11.10, wamerekebisha hilo, yaani unaweka modem tu, then unachagua nchi na mtandao basi, hakuna instalation, kama unatumia tigo, nenda manual setting, its simple. Just set dialing number, voda, zantel, airtel... Tayari wameziwekea dialing code zake, kama unataka mitandao mingine pia kuna choice ya kufanya manual setting. Sio kama window unaweka program kila modem. Mi ni mtumiaji wa ubuntu kwa mwaka mmoja nao, sijapata tatizo na naipenda kuliko windows. Kama utashindwa mimi nitakuelekeza.
 
nina new edition ya linux inayokuja na drivers zote muhimu pamoja na programme zake zote muhimu zaidi ya mia moja.ni pm kama unazihitaji
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom