Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
- Thread starter
- #61
Asanteni wote kwa ushauri,natoka MMU kwa muda,ntarudi baadae.
...wait a minute! nkiangaliaga mivu, deleting one's past is done thru murdering those involved back then. How do u do urs madam lara 1.
btw, nakumbushia request yangu ya a lunch date..jus dat!
Hahahaaaaa! Hiyo siri ya biashara!, wewe nawe kwa uchoyo!!! Hiyo LUNCH si ungeni PM basiii, mambo gani ya kunitega na kunipima imani HADHARANII!!!? Afu nilivo nahamu ya OFAAA! Basi tena, ushanilazimisha NIIKATAE HII OFA, japo naitamani ilihali niudhibitishie umma kuwa SIPENDI VYA BURE!!! LOLEST!!!
Kulia mbwembwe man, hawa viumbe wana phd ktk kuongopa! Na ukirudiana nae tu blv t o nt, utafall wewe na weakness zake me nina experience nazo so take a move man! Take it frm me
Hahahaaaaa! Hiyo siri ya biashara!, wewe nawe kwa uchoyo!!! Hiyo LUNCH si ungeni PM basiii, mambo gani ya kunitega na kunipima imani HADHARANII!!!? Afu nilivo nahamu ya OFAAA! Basi tena, ushanilazimisha NIIKATAE HII OFA, japo naitamani ilihali niudhibitishie umma kuwa SIPENDI VYA BURE!!! LOLEST!!!
kata mawasiliano..........
Dah! kiukweli moyo wangu haujaridhika kabisa,alafu ujue wanaume wengi pia wakipenda ndo hivyo tena hata kwa gharama yoyote anaweza kuhakikisha hatomwacha.Hapo cha msingi mawasiliano ntapunguza taratbu.
ww mtoa mada,yaan bado unaishi kizamani hivyo?suala la historia yake ww ya nn?(mkapime afya)full stop!...suala la mtoto ni mipango yenu nyie km aende kwa baba yake au kwao kwa mwanamke(ww hakuhusu)....unless humpendi mwambie ukweli ucmpotezee muda