M Mbwambo JF-Expert Member Nov 25, 2008 625 93 Sep 28, 2012 #1 Wapendwa ninahitaji kiwanja kilichopiwa ambacho kipi sehemu nzuri sina million kumi wapendwa asanteni
Wapendwa ninahitaji kiwanja kilichopiwa ambacho kipi sehemu nzuri sina million kumi wapendwa asanteni
bornagain JF-Expert Member Jan 25, 2012 3,383 1,354 Sep 28, 2012 #2 Du hayo maeneo hakuna viwanja vilivopimwa, wewe ukikipata acha hatua kadhaa kwa ajili ya barabara na mtaa then anza ujenzi
Du hayo maeneo hakuna viwanja vilivopimwa, wewe ukikipata acha hatua kadhaa kwa ajili ya barabara na mtaa then anza ujenzi
A Akiri JF-Expert Member Sep 21, 2010 1,445 212 Oct 1, 2012 #3 vipo maeneo ya mbagara kuna sqm 750 inauzwa 15m na vingine vingi vipo tuwasilliane 0657145555