SHAROBALO
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 771
- 349
Guys
kama unakingamuzi umekichoka...au hukihitaji tena...mi natafuta kimoja...bei elfu 35.
nahitaji sio kukitumia ila kuna vitu naviyaka toka mule ndani. kisiwe cha uwizi wala kisiwe kibovu.
kiwe online sababu kabla ya nmalipo nitaenda kukiulizia kama kipo poa ofisi za startimes.
so anyone interested...pm me
kama unakingamuzi umekichoka...au hukihitaji tena...mi natafuta kimoja...bei elfu 35.
nahitaji sio kukitumia ila kuna vitu naviyaka toka mule ndani. kisiwe cha uwizi wala kisiwe kibovu.
kiwe online sababu kabla ya nmalipo nitaenda kukiulizia kama kipo poa ofisi za startimes.
so anyone interested...pm me