Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
Habari ya jioni wana MMU?, poleni kwa majukumu ya siku ya leo. Natarajia kuwa Dar ea salaam mwezi ujao.....so naomba kwa walio available na wanaoishi DSM wanipe kampani tu-hang out na kuenjoy life na kubadilishana mawazo....kumbuka maisha ni mafupi mno so leo ndio yako...ifurahie..,
Note: Jinsia zote ni poa tu kwangu
Note: Jinsia zote ni poa tu kwangu