Timor
Member
- Feb 4, 2009
- 48
- 32
Wadau nisaidieni nahitaji iPhone 3D yenye 16Gb popote inapatikana naomba mnijulishe,Hata wale walio majuu tafadhali nisaidieni jinsi ya kuigazia.Nimeangalia kwenye mtandao (Internet) huko China zipo kuanzia $200 hadi $2000.Sasa mimi uwezo wangu ni dola $300 kwa ujumla.Hapa Bongo madukani sijaziona kabisa,