speaking of which, hivi ile minada ya bandarini imeishiaga wapi? maana natafuta ka-vitz ka kuzungukia hapa darisalame kwa dili za mbuzi.Kwa soko lilivyo na kodi ilivyopanda, kwa bei hiyo utaambulia KIMEO.
Gari ya hali nzuri huwezi pata kwa 4m, labda ya mnada.
Pastor Rev Canyon! hahahahahahahaha!! lol.Bajaj nzuri mil 5-7
Nahitaji gari ya kununua kwa bei niliyotaja hapo juuuu
nipe detail zake na bei bt iwe kwenye hari nzuri plz.
Gari mil 4? Unataka kununua umasikini kwa hela zako mwenyewe! Kama unajiamini ni heri ununue Toyo mpya.
Ipo escudo 4m.Nipe bei mkuuu
Hilo la kujazia cha juu ndio suala la msingi, lakini sio kuja hapa kutaka gari la milioni 4, utanunua matatizo. Itakuwa gari ya mafundi mekanika. Hata Corolla mbovu huwezi pata kwa bei hiyo.Pouwa kaka ngoja nijichange
kha ibra! mbona mie nimeelekezwa mahali kuna mercedes E class, imekufa nozzle na water pump kwa 2 mil? repair cost inaenda 800000..unanishauri nini hapo?
Hilo la kujazia cha juu ndio suala la msingi, lakini sio kuja hapa kutaka gari la milioni 4, utanunua matatizo. Itakuwa gari ya mafundi mekanika. Hata Corolla mbovu huwezi pata kwa bei hiyo.
Kwelea,
Ushauri wa ubwete!
Kabla hujanunua hilo gari, liangalie kwanza hali yake, kisha nenda DT Dobie (CFAO Motors) pale Vingunguti, uliza bei ya hivyo vipuri kabla hujauziwa, coz unaweza kukuta bei ya vipuri ni ghali kuliko bei ya gari. Sikukatishi tamaa, ila kwa huko Uswazi benzi ina heshima kuliko saloon nyingine mtaani, kwa hiyo hata bei za vipuri vyake ni za juu.
Nahitaji gari ya kununua kwa bei niliyotaja hapo juuuu
nipe detail zake na bei bt iwe kwenye hari nzuri plz.
....mwenyewe alisema ikikosa mteja anafikiria kuweka mfumo wa toyota ili aendelee kuenjoy dashboard na chassis.....
Nahitaji gari ya kununua kwa bei niliyotaja hapo juuuu
nipe detail zake na bei bt iwe kwenye hari nzuri plz.
Umeshamalizia ile nyumba yako?